Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,603
- 29,748
Yooote nakubaliana naye ila hapa
Iwe jukumu la wanaNETWORK kuchanganua aina ya TEAM wanayoitaka na siyo kuwa backed up na serikali.
Michuzi nimeikubali presentation yako ila hiyo comment yangu inaakisi mahala nilipoona umeweweseka zaidi
Sikubaliani naye maana anaonekana amewekewa maneno mdomoni and kuna kitu behind him.2. Form a small team of networkers at Home and Abroad to run the forum. ( I Volunteer to be one such person from home)
Iwe jukumu la wanaNETWORK kuchanganua aina ya TEAM wanayoitaka na siyo kuwa backed up na serikali.
Michuzi nimeikubali presentation yako ila hiyo comment yangu inaakisi mahala nilipoona umeweweseka zaidi