Premium netflix account

Wewe unayefanya biashara kuangalia consumer behavior ndie unayeona mjadala sio wa kuelimishana!! Huwezi kufanya biashara bila kujua tabia ya wateja unaowakusudia!

Yaani seriously unakejeli kuhusu torrents wakati majority humu source yao ni torrents na related sites?!!
 
Bora you tube haulipii ada.ni bando lako tu
Tatizo la YouTube, linapokuja suala la movies/series, hakuna collection ya kutosha na hata zilizopo unakuta quality mbovu. Hata hivyo, sie wengine tunaokerwa na matangazo hata huko YouTube tunalipia!!!
 
mbona kwa kutumia Vodacom mpesa(mastercard) ni rahisi tuu....kwanini mtu utumie watu wengine kuangalia Netflix?...standard netflix movie/series hata haili data kihivyo..vifurushi vya kawaida unaangalia movies na series mpaka unamaliza.
 
mbona kwa kutumia Vodacom mpesa(mastercard) ni rahisi tuu....kwanini mtu utumie watu wengine kuangalia Netflix?...standard netflix movie/series hata haili data kihivyo..vifurushi vya kawaida unaangalia movies na series mpaka unamaliza.
Saw ni rahisi ila kwa mwezi ni Tsh 28,000 na vicent kadhaa
Sasa bora kipi sjui kulipa tsh 3000 au tsh 28,000 kwa mwezi

Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
 
 
Tatizo la YouTube, linapokuja suala la movies/series, hakuna collection ya kutosha na hata zilizopo unakuta quality mbovu. Hata hivyo, sie wengine tunaokerwa na matangazo hata huko YouTube tunalipia!!!
Agiza soda mkuu utailipia kesho mchana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…