Tena kama upo Bongo ambako free wi-fi inapatikana maeneo maalumu, usithubutu ku-subscribe plan aliyoitaja huyo jamaa hapo juu labda kama pesa za bundle kwako si tatizo!Hivi mleta mada ukisha lipia Netflix . ukitaka kuingia bado utalazimika kuwa na bando la Internet?
Tena kama upo Bongo ambako free wi-fi inapatikana maeneo maalumu, usithubutu ku-subscribe plan aliyoitaja huyo jamaa hapo juu labda kama pesa za bundle kwako si tatizo!
Episode moja ya TV Show ambayo ni less than 1 hours kwa Ultra HD unaweza kutumia zaidi ya 1GB.
Na ushauri kwa mleta mada, kama unataka kuwaunga watu, badilisha hiyo plan manake hata kama utapata wateja, watakukimbia within 1 month kwa sababu wenye uwezo wa ku-subscribe Ultra HD kuna uwezekano mkubwa tayari ni NetFlix Customers na kwahiyo hawana sababu ya kujiunga kimagumashi!
Mzee haiko kama hivyo unavyozaniTena kama upo Bongo ambako free wi-fi inapatikana maeneo maalumu, usithubutu ku-subscribe plan aliyoitaja huyo jamaa hapo juu labda kama pesa za bundle kwako si tatizo!
Episode moja ya TV Show ambayo ni less than 1 hours kwa Ultra HD unaweza kutumia zaidi ya 1GB.
Na ushauri kwa mleta mada, kama unataka kuwaunga watu, badilisha hiyo plan manake hata kama utapata wateja, watakukimbia within 1 month kwa sababu wenye uwezo wa ku-subscribe Ultra HD kuna uwezekano mkubwa tayari ni NetFlix Customers na kwahiyo hawana sababu ya kujiunga kimagumashi!
Haina haja ya acount ya benki yote ni juu yangu,ww niHapo kweli mtihani.
Nina katv changu cha smart .lakini kila nikijaribu kujiunga Netflix nashindwa
maana hata account ya BENKI sina
Kujiunga ni lazima kwanza u-subscribe; na ku-subscribe ni lazima kwanza uwe na suggested payment processor ambayo, kama upo TZ itakuwa MasterCard au VisaCard.Hapo kweli mtihani.
Nina katv changu cha smart .lakini kila nikijaribu kujiunga Netflix nashindwa
maana hata account ya BENKI sina
Haipo kama ninavyodhani wakati ndo ninayoitumia! Btw, kwanini ulipie Premium Ultra halafu uchague ku-stream standard wakati tayari kuna Standard Plan iliyo relatively cheaper compared to Standard Ultra?!Mzee haiko kama hivyo unavyozani
Ku stream au ku download unachagua ww mwenyewe quality unayo hitaji kulingana na uwezo wako wa bando
Bali ultra HD plan ina faida ya kutumia watu wa 4 kwa kila acount na wote wakawa na uwezo wa ku stream kwa wakti mmojaView attachment 1488445
Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
Mzee kuwa ultra hd plan,haina maana kama inatoa high resolution pekee (4k) inaanzia 480p resolutionKujiunga ni lazima kwanza u-subscribe; na ku-subscribe ni lazima kwanza uwe na suggested payment processor ambayo, kama upo TZ itakuwa MasterCard au VisaCard.
Kama huna a/c benki basi ni mtihani na solution yake ni ama ujaribu kutumia virtual mastercard kama zile za VodaCom (sina maelezo ya kutosha kwa sababu sijawahi kutumia) au uennde benki zinazotoa Prepaid Visa Card ambazo wanatoa hata kama huna akaunti nao.
Pili, kama tv yako sio UHD/4K, siku ukifikiria kujiunga hata kama una pesa ya kuchezea, Premium Ultra HD kwako haitakuwa na maana yoyote kwahiyo unaweza ku-subscribe plan ya kawaida.
Hiyo Ultra plan ina faida ya kutumia account 1 watu wa 4 kwa wakati mmoja,ndo faida kuwa na ndo maana ni plan ambayo imepewa kipaumbele na wengi na si kwa resolution pekee na s wote wanaotumia hiyo plan kwa ajili ya resultion just ni kwa ku share,kusaidiana ghramaHaipo kama ninavyodhani wakati ndo ninayoitumia! Btw, kwanini ulipie Premium Ultra halafu uchague ku-stream standard wakati tayari kuna Standard Plan iliyo relatively cheaper compared to Standard Ultra?!
Huo ushauri utakufaa mwenyewe kwa sababu majority humu hata hiyo Standard Plan kwao ni burden linapokuja suala la bundle!
Premium Ultra inaanzia 1080p na sio 480p, na ndio maana nikasema kwanini basi mtu ulipie Premium Ultra halafu u-stream kwa 1080p badala ya ku-subscribe moja kwa moja Standard inakopatikana hiyo 1080p?!Mzee kuwa ultra hd plan,haina maana kama inatoa high resolution pekee (4k) inaanzia 480p resolution
4k ni faida ya hiy plan kama unaitaji 4k
Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
Ni shajibu hiyo mzee ni kupata faida ya ku share acount nakuweza kutumia 4 people kwa wakt mmoja na faida yake kubwa,anyway hata hiyo basic mtu akiitaji atapatiwa maana nikiupande flani ni bora kwangu piaPremium Ultra inaanzia 1080p na sio 480p, na ndio maana nikasema kwanini basi mtu ulipie Premium Ultra halafu u-stream kwa 1080p badala ya ku-subscribe moja kwa moja Standard inakopatikana hiyo 1080p?!
Nimekuambia concern ya wengi humu itakuwa bundle na wala sio hiyo monthly payment.Hiyo Ultra plan ina faida ya kutumia account 1 watu wa 4 kwa wakati mmoja,ndo faida kuwa na ndo maana ni plan ambayo imepewa kipaumbele na wengi na si kwa resolution pekee na s wote wanaotumia hiyo plan kwa ajili ya resultion just ni kwa ku share,kusaidiana ghrama
Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
Bado nasisitiza, concern ya watu wengi humu itakuwa ni bundle! Na hicho ulichoonesha hapo juu is just user accounts and has nothing to do with Premium Something!Ni shajibu hiyo mzee ni kupata faida ya ku share acount nakuweza kutumia 4 people kwa wakt mmoja na faida yake kubwa,anyway hata hiyo basic mtu akiitaji atapatiwa maana nikiupande flani ni bora kwangu piaView attachment 1488454
Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
Inawezakuwa hvyo ila sio kutumia kwa wakt mmojaBado nasisitiza, concern ya watu wengi humu itakuwa ni bundle! Na hicho ulichoonesha hapo juu is just user accounts and has nothing to do with Premium Something!
Tofauti ni kwamba, ukishakuwa na Premium Ultra, unaweza kutumia screen 4 at a time. Hata ukiwa na Basic Plan, unaweza kuwa na hiyo idadi ya accounts ulizoonesha hapo juu lakini unlike Premium Ultra, kama kwa mfano unatumia TV kuangalia, and at the same time mtu uliyemuunga ana-login na kutumia TV, atapata error kwamba "You're account is used by more than one person" kwa sababu Basic Plan is designed for 1 screen.
Usiwe mjadala basi nita change uzi from ultra kuwa basic plan
Sasa si nimeshasema mtu mwingine aki-login atapata error message kwamba account inatumika?!
Hata kama unaweza kudhani najaribu kukuharibia biashara yako lakini kimsingi nakusaidia kwa sababu again and again, Premium Ultra kwa members wengi humu ni shipa ambalo wengi hawataliweza na matokeo yake wataamua kukimbia within a month!Usiwe mjadala basi nita change uzi from ultra kuwa basic plan
Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
Mzee hii ndo faida ya ultra hd account,kwa wakt mmoj wanatizamaSasa si nimeshasema mtu mwingine aki-login atapata error message kwamba account inatumika?!