Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,837
Mfano mtu anaamua kabisa kwenda public kwamba anatangaza vita dhidi ya Serikali iliyopo Madarakani na lengo lake ni kuiondoa (Serikali) Madarakani kwa nguvu, hayo ni mapinduzi, je Serikali haina haki ya self defense dhidi ya hao watu? Je, ni kosa kwa Serikali kufanya, preemptive strike before it’s late?
USA walikuwa na strategy wakati wa vita baridi, kwamba wakihisi unataka kuwavamia wanakuhit first, na nuclear weapons, hiyo hata Urusi wanayo wameweka vikosi hali ya Utayari dhidi ya NATO, hivyo wakihisi kwamba NATO wanataka kuwavamia wanaingia Europe kwanza, wanachukuwa Finland, Baltic states n.k.
Sasa kurudi kwenye hoja ni mtu mjinga tu na mwenye low intelligence ambaye anaweza kutangaza anataka kuivamia USA na kuiondoa madarakani serikali, USA itahit first, USA watahit hata tu wakiwa na Intelligence Infos kwamba una plan kuishambulia USA.
USA walikuwa na strategy wakati wa vita baridi, kwamba wakihisi unataka kuwavamia wanakuhit first, na nuclear weapons, hiyo hata Urusi wanayo wameweka vikosi hali ya Utayari dhidi ya NATO, hivyo wakihisi kwamba NATO wanataka kuwavamia wanaingia Europe kwanza, wanachukuwa Finland, Baltic states n.k.
Sasa kurudi kwenye hoja ni mtu mjinga tu na mwenye low intelligence ambaye anaweza kutangaza anataka kuivamia USA na kuiondoa madarakani serikali, USA itahit first, USA watahit hata tu wakiwa na Intelligence Infos kwamba una plan kuishambulia USA.