hahaha Fast Jet is more worse.
Ndege gani iko full all the time. Ila nimegundua watanzania wanapenda vitu vya mteremko sana!! Very cheap!
Unajua unaamka alfajili kwa ajili ya kuwahi flight ya 7.10am, unahamaki labda umechelewa unaamua kuendesha mwenyewe ukihisi anayekuendesha ajui Kama umechelewa. Unapark haraka unacheckiwa na security haraka. Unafika kwenyekucheckin counter Mara mnaambiwa ndege yenu imepata hitirafu haipo. Na baada ya taarifa hiyo mnabaki mnatazamana na staff wa precision wapita pita tu bila taarifa yoyote. Jamani hawa precision mpaka lini hii?
hahaha Fast Jet is more worse.
Ndege gani iko full all the time. Ila nimegundua watanzania wanapenda vitu vya mteremko sana!! Very cheap!
hahaha Fast Jet is more worse.
Ndege gani iko full all the time. Ila nimegundua watanzania wanapenda vitu vya mteremko sana!! Very cheap!
Unajua unaamka alfajili kwa ajili ya kuwahi flight ya 7.10am, unahamaki labda umechelewa unaamua kuendesha mwenyewe ukihisi anayekuendesha ajui Kama umechelewa. Unapark haraka unacheckiwa na security haraka. Unafika kwenyekucheckin counter Mara mnaambiwa ndege yenu imepata hitirafu haipo. Na baada ya taarifa hiyo mnabaki mnatazamana na staff wa precision wapita pita tu bila taarifa yoyote. Jamani hawa precision mpaka lini hii?
hahaha Fast Jet is more worse.
Ndege gani iko full all the time. Ila nimegundua watanzania wanapenda vitu vya mteremko sana!! Very cheap!
Usafiri wa anga kwa medani za Tanzania sio kama mnavyofikiri wanandugu, kama vipi pandeni mabasi.
hahaha Fast Jet is more worse.
Ndege gani iko full all the time. Ila nimegundua watanzania wanapenda vitu vya mteremko sana!! Very cheap!
Wameshapigwa bao na FASTJET!!!!!!!!!!!!!