Holly Star
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 4,327
- 8,184
Ahaa kumbe ndio nyie mlioitwa mida ya saa 5:20 mka-board kupitia gate No. 5. Poleni, nilikuwa hapo nasubiri ndege ya kwenye mkoa mwingine. Kumbe mlienda kuteseka hivyo poleni sana.Nimesafiri leo 19.02.2024 na Ndege ya Precision Air PW 600 aina ya ATR kutoka Dsm kwenda Dodoma majira ya saa 5:40 asb na kufika saa 6:55
Ndege imeyumba sana angani hadi abiria wote kupoteza matumaini ya kufika salama Dodoma. Pamoja na uwepo wa mawingu lakini ya Leo ilikuwa inashuka na kupanda ghafla katikati ya safari. Nini uzoefu wako kuhusu ndege hii.
Sent from my PEUM00 using JamiiForums mobile app
Ni hatari sana aiseeAisee sio kidogo,
Kuna siku Dom Dar kidogo turejee kwa Muumba
Baadhi ya abiria walishukia kwenye Ambulance JNIA
Inategemea ulivyoelewa, maelezo yako poa tu.Hemu rudia kusoma maelezo uliyoandika halafu urekebishe upya.
𝗦𝗮𝘄𝗮.Inategemea ulivyoelewa, maelezo yako poa tu.
Sawa uko sawa kabisa.Kutuisha ndege baada ya engine failure na gliding from Morogoro to Dar ni vitu viwili tofauti. Usiifanye iwe as if ndege ilikuwa Chanika ikafeli injini ikatua hapo JNIA.
Flight simulator na uhalisia ni tofauti. Kama ndio hivyo basi fighter pilots wangekuwa wanatumia military simulators na wakimaliza wanapewa fighter jets. Mbona wakitoka kwenye simulator, wanaenda kwenye jet trainers zenye twin seats, then wanaenda kwenye zenye single seat.
Mbona airlines kubwa hazichukui rubani asiye na flight hours nyingi kumpa long haul flight, sababu ya experience. Sasa kwanini unataka kupuuzia uzoefu wa glider pilot dhidi ya pilot asiyeweza endesha glider.
Tena glider pilot anajua hata ditching vizuri zaidi.
Inawezekana kabisa, fatilia vipindi vya air disasters utaonaKwahio from Moro to Dar ndege ilienda bila engine na mkatua salama sio?
Inawezekana ila kutua kuna mtiti sio salama.Inawezekana kabisa, fatilia vipindi vya air disasters utaona
Hivi yule captain Owen Mshiu bado yupo precision?Tatizo la precision sir limeanza tangu 2019, zimechoka sana hata ratiba hazifuati
Sijui mkuu, mara ya mwisho kupanda hizo ni 2021Hivi yule captain Owen Mshiu bado yupo precision?
Au chai maharageMimi nazionaga kama zile daladala zilikua zinaitwa “vipanya”. Yani kuna namna ziko
Ni kweli. Hata bahari ya Pacific ni noma. Niliendaga Fiji kupitia Australia, ndege ni kubwa lakini hiyo turbulence si ya kitoto. Halafu ni masaa 15 non stop kutoka Abudhabi.Hiyo ni turbulence mzee; ni very normal hususan kwa videge panzi kama ATR, Bombardier, au vile vingine vya abiria 10 sijui charted nini sijui.
Ingekuwa jet wala usingehisi chochote; anga la Tanzania ni kati ya anga tulivu mno! Usiombe ukatize hapo India to far East kipindi cha monsoon utachafua nguo!
Mimeuliza mara kadhaa kuwa mkondo wa bahari una uhusiano gani na air turbulance?Ni kweli. Hata bahari ya Pacific ni noma. Niliendaga Fiji kupitia Australia, ndege ni kubwa lakini hiyo turbulence si ya kitoto. Halafu ni masaa 15 non stop kutoka Abudhabi.
ulikuwa wapi kipenzi changu mbna umechelewa
Ww ndo umechelewa me nimereply toka jana☺️ulikuwa wapi kipenzi changu mbna umechelewa
No stress.daah bongo unaweza kupotea hivihivi yani jamaa kauliza swali gumu cha ajabu anapewa majibu mepesimepesi yani km hakuna kilichohappen vile
nimekumiss hadi naumwa chibeby wangu.Ww ndo umechelewa me nimereply toka jana☺️
Ila hizo habari za movieInaweza, engine zikifa ina 'glide' yaani inaenda huku inapoteza altitude taratibu, kazi ipo kwenye kutua sasa, kulenga airport na ku control speed wakati wa kutua ndio hatari inaanzia hapo.