Precision Air (Dsm Dodoma)

misoza Gete

Member
Joined
Sep 28, 2012
Posts
58
Reaction score
21
Nimesafiri leo 19.02.2024 na Ndege ya Precision Air PW 600 aina ya ATR kutoka Dsm kwenda Dodoma majira ya saa 5:40 asb na kufika saa 6:55
Ndege imeyumba sana angani hadi abiria wote kupoteza matumaini ya kufika salama Dodoma. Pamoja na uwepo wa mawingu lakini ya Leo ilikuwa inashuka na kupanda ghafla katikati ya safari. Nini uzoefu wako kuhusu ndege hii.

Sent from my PEUM00 using JamiiForums mobile app
 
Ni hali ya kawaida
 
Mm huwa ikitokea hiyo wala kuwa siwazi coz najua ndege ikiwa angani ipo salama zaid kuliko ikiwa chini
 
Hiyo kitu ya kawaida angani mkuu.
Miaka mingi iliyopita ndege ya ATC Fokker F50 ilizimika engine tukitoka Kigoma hadi Tabora.

Pale Tabora ikatengenezwa na tukaruka.
Tuko anga za Morogoro tukielekea Dar ENGINE YA PILI ikazima. Hapo abiria wote tulipanic, lakini Mungu yu mwema, tulitua salama Dar.
 
Kwahio from Moro to Dar ndege ilienda bila engine na mkatua salama sio?
 
Hiyo ni turbulence mzee; ni very normal hususan kwa videge panzi kama ATR, Bombardier, au vile vingine vya abiria 10 sijui charted nini sijui.

Ingekuwa jet wala usingehisi chochote; anga la Tanzania ni kati ya anga tulivu mno! Usiombe ukatize hapo India to far East kipindi cha monsoon utachafua nguo!
 
Kwa muda mliotumia inaonyesha kulikuwa na shida. Safari kati ya Dom - Dar kwa ndege hiyo hardly ni saa moja. Mimi leo nimesafiri na ATC Bombadier tumetoka saa 4.35 na tumefika dom saa 5.20 asbh means tumetumia dakika 45 kuruka hadi kutua. Wakati mwingine tulitumia dk 40. Kulikuwa na hali ya mawingu kiasi hasa Dar.
 
Pole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…