misoza Gete
Member
- Sep 28, 2012
- 58
- 21
Ni hali ya kawaidaNimesafiri leo 19.02.2024 na Ndege ya Precision Air PW 600 aina ya ATR kutoka Dsm kwenda Dodoma majira ya saa 5:40 asb na kufika saa 6:55
Ndege imeyumba sana angani hadi abiria wote kupoteza matumaini ya kufika salama Dodoma. Pamoja na uwepo wa mawingu lakini ya Leo ilikuwa inashuka na kupanda ghafla katikati ya safari. Nini uzoefu wako kuhusu ndege hii.
Sent from my PEUM00 using JamiiForums mobile app
Mm huwa ikitokea hiyo wala kuwa siwazi coz najua ndege ikiwa angani ipo salama zaid kuliko ikiwa chiniNimesafiri leo 19.02.2024 na Ndege ya Precision Air PW 600 aina ya ATR kutoka Dsm kwenda Dodoma majira ya saa 5:40 asb na kufika saa 6:55
Ndege imeyumba sana angani hadi abiria wote kupoteza matumaini ya kufika salama Dodoma. Pamoja na uwepo wa mawingu lakini ya Leo ilikuwa inashuka na kupanda ghafla katikati ya safari. Nini uzoefu wako kuhusu ndege hii.
Sent from my PEUM00 using JamiiForums mobile app
Kwahio from Moro to Dar ndege ilienda bila engine na mkatua salama sio?Hiyo kitu ya kawsida angani mkuu.
Miaka mingi iliyopita ndege ya ATC Fokker F50 ilizimika engine tukitoka Kigoma hadi Tabora. Pale Tabora ikatengenezwa na tukaruka.
Tuko anga za Morogoro tukielekea Dar ENGINE YA PILI ikazima. Hapo abiria wote tulipanic, lakini Mungu yu mwema, tulitua salama Dar.
Angani haikai milele.Mm huwa ikitokea hiyo wala kuwa siwazi coz najua ndege ikiwa angani ipo salama zaid kuliko ikiwa chini
Hapana, engine ile iliyozimika Kigoma to Tabora ndio ikawa inafanya kazi.Kwahio from Moro to Dar ndege ilienda bila engine na mkatua salama sio?
Hiyo ni turbulence mzee; ni very normal hususan kwa videge panzi kama ATR, Bombardier, au vile vingine vya abiria 10 sijui charted nini sijui.Nimesafiri leo 19.02.2024 na Ndege ya Precision Air PW 600 aina ya ATR kutoka Dsm kwenda Dodoma majira ya saa 5:40 asb na kufika saa 6:55
Ndege imeyumba sana angani hadi abiria wote kupoteza matumaini ya kufika salama Dodoma. Pamoja na uwepo wa mawingu lakini ya Leo ilikuwa inashuka na kupanda ghafla katikati ya safari. Nini uzoefu wako kuhusu ndege hii.
Sent from my PEUM00 using JamiiForums mobile app
Engine moja na rubani mzoefu mnatua bila mambo mengi.Hapana, engine ile iliyozimika Kigoma to Tabora ndio ikawa inafanya kazi.
Kwa vile engine hiyo ni mbovu, ingeweza kuzimika wakati wowote.
Kwa muda mliotumia inaonyesha kulikuwa na shida. Safari kati ya Dom - Dar kwa ndege hiyo hardly ni saa moja. Mimi leo nimesafiri na ATC Bombadier tumetoka saa 4.35 na tumefika dom saa 5.20 asbh means tumetumia dakika 45 kuruka hadi kutua. Wakati mwingine tulitumia dk 40. Kulikuwa na hali ya mawingu kiasi hasa Dar.Nimesafiri leo 19.02.2024 na Ndege ya Precision Air PW 600 aina ya ATR kutoka Dsm kwenda Dodoma majira ya saa 5:40 asb na kufika saa 6:55
Ndege imeyumba sana angani hadi abiria wote kupoteza matumaini ya kufika salama Dodoma. Pamoja na uwepo wa mawingu lakini ya Leo ilikuwa inashuka na kupanda ghafla katikati ya safari. Nini uzoefu wako kuhusu ndege hii.
Sent from my PEUM00 using JamiiForums mobile app
PoleNimesafiri leo 19.02.2024 na Ndege ya Precision Air PW 600 aina ya ATR kutoka Dsm kwenda Dodoma majira ya saa 5:40 asb na kufika saa 6:55
Ndege imeyumba sana angani hadi abiria wote kupoteza matumaini ya kufika salama Dodoma. Pamoja na uwepo wa mawingu lakini ya Leo ilikuwa inashuka na kupanda ghafla katikati ya safari. Nini uzoefu wako kuhusu ndege hii.
Sent from my PEUM00 using JamiiForums mobile app
Ndio ni kawaida kabisaKwahio from Moro to Dar ndege ilienda bila engine na mkatua salama sio?