habarini wanajf. kuna mwenye taarifa zozote khs nafasi za customer service zilizotangazwa na precision air kama wameanza kuita? natanguliza shukrani zangu
habarini wanajf. kuna mwenye taarifa zozote khs nafasi za customer service zilizotangazwa na precision air kama wameanza kuita? natanguliza shukrani zangu
Kigezo kikubwa wanachoangaliaga kwenye hiyo nafasi ni urefu na sura mwanana na usiwe bantu sana. Portability matters. tehe tehe....
Kama vigezo hivyo tajwa unavyo walau unaweza kujiweka nafasi nzuri. Mengine yanayoendelea huko ndani mi sijui kwa kweli. Ukikutana na HR bazazi ujue.....................
Kigezo kikubwa wanachoangaliaga kwenye hiyo nafasi ni urefu na sura mwanana na usiwe bantu sana. Portability matters. tehe tehe....
Kama vigezo hivyo tajwa unavyo walau unaweza kujiweka nafasi nzuri. Mengine yanayoendelea huko ndani mi sijui kwa kweli. Ukikutana na HR bazazi ujue.....................
Kigezo kikubwa wanachoangaliaga kwenye hiyo nafasi ni urefu na sura mwanana na usiwe bantu sana. Portability matters. tehe tehe....
Kama vigezo hivyo tajwa unavyo walau unaweza kujiweka nafasi nzuri. Mengine yanayoendelea huko ndani mi sijui kwa kweli. Ukikutana na HR bazazi ujue.....................
habarini wanajf. kuna mwenye taarifa zozote khs nafasi za customer service zilizotangazwa na precision air kama wameanza kuita? natanguliza shukrani zangu
Kigezo kikubwa wanachoangaliaga kwenye hiyo nafasi ni urefu na sura mwanana na usiwe bantu sana. Portability matters. tehe tehe....
Kama vigezo hivyo tajwa unavyo walau unaweza kujiweka nafasi nzuri. Mengine yanayoendelea huko ndani mi sijui kwa kweli. Ukikutana na HR bazazi ujue.....................
hekimatele umesahau Sauti aisee. Dah., hiki.cha muhimu sana. Sio muhudumu anatangaza abiria wafunge mikanda then lisauti linatoka kwenye PA kama zombie :faint:
hekimatele umesahau Sauti aisee. Dah., hiki.cha muhimu sana. Sio muhudumu anatangaza abiria wafunge mikanda then lisauti linatoka kwenye PA kama zombie :faint: