lyasi
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 362
- 383
1994 up to 2006 miaka 12 akashiriki u-miss akiwa kahitimu kidato Cha nne ambayo ni miaka 4 akitanguliwa na elimu ya msingi ambayo ni miaka 7 +4 alianza elimu ya msingi akiwa na mwaka 1 Safi Sana!2019 -25= 1994 ....amezaliwa 1994 hivyo mwaka 1996 alikuwa miss Tanzania akiwa na miaka miwili ...safi sana!