huyo wema kagombania umiss mimi nipo form one na sahizi natimiza 30 ila yeye bado hajafikisha dah kweli ukiwa mbongo muvi umri unapauseShe is over 30
Yote ni mikoa kote ni mkoani inategemea kwa wakati huo upo wapi?Hivi dom na dsm ni wapi mkoani?
Karibu uwe rafiki yangu hutolalamika tenaWadau nimeona Jana Insta kumechafuka. Wema kapewa gari jipya kabisa na Autie Ezekiel zawadi yake ya birthday.
Nimejiuliza maswali mengi sana hivi kumbe Wema na Auntie wana urafiki wa kujaliana kiasi hiki?
Pia zawadi anazopewaga Wema kwenye birthday ni magari tu. Jamani nani yuko naye karibu amwambie aniuzie moja kama second-hand.
Mimi sijui ninakwama wapi rafiki hata wa kunimwagia maji tu sina loh!
Mwisho ingieni wenyewe Insta mjionee msinidai video wakati sijui hata kuiupload JF.
Baadae leo huko elements kuna birthday party theme ni makitu gani sijui. May be warumi anaweza kutupa jina la theme