Pr. Shivji katiba tune ITV sasa.

Pr. Shivji katiba tune ITV sasa.

Welu

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
852
Reaction score
303
Mlio karibu na ITV msikilizeni anatoa maada ihusuyo katiba.
 
kama kawa na sasa anaelezea katiba ya zanzibar uhalali wake..
 


Mimi huwa simsikilizi Shivji kwa sababu yeye ni Mjamaa na mimi ni Bepari.

Umenikumbusha injinia Ngwegwe, anapinga sana tabia ya kujifungia nakufikiri ndani ya box. Yaani ukiwa injinia basi hutaki kusikia kabisa habari ya uchumi!

Specialization is the other side of ignorance.
 
Miaka ya 77, CCM ilivyoanzailiitwa CHAMA CHA MALODI/CHUKUA CHAKO MAPEMA!
 
Umenikumbusha injinia Ngwegwe, anapinga sana tabia ya kujifungia nakufikiri ndani ya box. Yaani ukiwa injinia basi hutaki kusikia kabisa habari ya uchumi!

Specialization is the other side of ignorance.

Sitaki kwa sababu naona watanichokomoa tu, wacha nibaki ndani ya Boksi.
 
uamsho wanatakiwa kuangalia hii kitu...chakula ya akili...
hao shuleless unafikiri wanaelewa hivyo, wao kwanza uislamu hatakama anaye waambia hivyo ni mamuma au ni levi, muuza unga mbwia unga ndio interest yao.
 
ngoja akianza kuusema ukweli uone wanafiki watavomruka sku zote wanataka aongee yanayokufurahisheni ila nakuamini shivji endelea kutupa elimu
 
Back
Top Bottom