kama una uzoefu wa Maswali yanaweza kuulizwa kwenye aptitude test weka hapa ya PPF
duh! nami nimeitwa,lets me see if i will be able to attend the interview,coz ofisi niliyopo now wanabana ruhusa hadi basi................!
Matusi ya nini mkuu,katika andiko langu nimekukwaza nini?,Elewa ya kuwa kama wewe huna kitu fulani basi isiwe sababu ya mwingine asiwe nacho,wewe kuwa na hudhuni,sio kizuizi cha kufanya mwingine asiwe na furaha,wewe kama huna kazi isiwe sababu ya kuzuia wengine tusifurahie maisha,you have to take 100% responsibility for ur life,huwezi kunizuia kufanya application kama nina vigezo vyote eti kwa kuwa wewe huna kazi,ni mpuuzi pekee anaeweza kuongea kama ulivyoongea wewe,ktk maisha hatufanani,kama wewe huna mwenzio anacho,"kama huna kazi wenzako wanazo,kama huna pesa wenzako wanazo,kama huna akili wenzio tunazo,kama huzioni fursa wenzio tunaziona",so stop this daftness....!
Matusi ya nini mkuu,katika andiko langu nimekukwaza nini?,Elewa ya kuwa kama wewe huna kitu fulani basi isiwe sababu ya mwingine asiwe nacho,wewe kuwa na hudhuni,sio kizuizi cha kufanya mwingine asiwe na furaha,wewe kama huna kazi isiwe sababu ya kuzuia wengine tusifurahie maisha,you have to take 100% responsibility for ur life,huwezi kunizuia kufanya application kama nina vigezo vyote eti kwa kuwa wewe huna kazi,ni mpuuzi pekee anaeweza kuongea kama ulivyoongea wewe,ktk maisha hatufanani,kama wewe huna mwenzio anacho,"kama huna kazi wenzako wanazo,kama huna pesa wenzako wanazo,kama huna akili wenzio tunazo,kama huzioni fursa wenzio tunaziona",so stop this daftness....!
acha ungese wewe, waachie wasio na kazi wapate kazi. huo ni umaku kuwa na kazi afu unatafuta kazi, wapuuzi kama wewe ndio wanasababisha watu wanakaa miaka saba wanatafuta ajira