Guys hii ya jmos nu nyingne sio iyo waliobandika majina.mimi nilipigiwa simu juz alaf sikuweza kupokea ILA Leo nmeipigia wameniambia Ni jmos alaf Ni written wamenambia niende na kitambulsho na pen,sasa naomba kuuliza kwa aliyepigiwa simu walisema saa ngapi?maana mm simu imekatika kabla hajanambia vizuri huo mda WA interview.please help urgently guys