me mwenyewe wameniita na nashukuru jamii foram manake alinipigia mdada mmoja hiv na nilikuwa kijiji network ikawa inasumbua wala sikumpata vema hasa kuhusu eneo la tukio hivyo ndo nimerudi nikaona nianzie jamii forum na kweli nimepata mahali pa tukio maelezo ya ziada kwa waliopigiwa isee na je ni oral au ni written?natanguliza shukrani