KAKA YAKO NAPITA
JF-Expert Member
- May 16, 2014
- 1,322
- 233
wanapiga na hii no +255222114751 kaa tayari interview jumamosi.
Keyser Söze;9839275 said:walitoa nafasi gani mkuu?
Wamenipigia mkuu. Mungu atujalie baraka zake sisi watoto tusiokuwa na wajomba wala shangazi vigogo..
Wakuu, Wenye kujua interview za ppf zinakuaje watujulishe tuwe na mwanga .
WRITTEN
oral wapo watu kumi nafasi ni nne
unamaanisha wameitwa watu kumi nafasi wazi ni 4?
nafazi zipo 4 watu wameitwa 10 majina yamebandikwa hapa kwenye notisi bodi yao,kama uko karibu pitia hapa uone.
wana bahati walioitwa, nafasi nne kuitwa wav kumi, tumezoea kuitwa watu 1000 kwenye nafasi 3nafazi zipo 4 watu wameitwa 10 majina yamebandikwa hapa kwenye notisi bodi yao,kama uko karibu pitia hapa uone.
nafazi zipo 4 watu wameitwa 10 majina yamebandikwa hapa kwenye notisi bodi yao,kama uko karibu pitia hapa uone.
yamebandikwa kwenye notesboard ya wapi mkuu, nikwawale waliofanya written wiki iliyopita pale UCC ndowanaita oral sasa au? naomba kujuzwa.
nadhani ni nafasi zingine, kuna mshkaji kaitwa na hajawahi fanya interview yao.
Kwa wale ambao watafanikiwa kufika ofice za PPF tungeomba wapige picha hayo majina wayatupie humu,
Nimepigiwa pia.
All the best kwa mtakaoenda maana mi nipo njia panda ukizingatia siku hiyo nitakuwa na watu wa Utumishi...