PPF Ajira

PPF Ajira

Chemwali

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2011
Posts
397
Reaction score
178
Wadau ndugu yangu ametumiwa taarifa ya kuitwa kwenye Usaili PPF nafasi ya Member Care Trainee...Duce siku ya jumamosi tarehe 6/6.sasa yeye anaishi Moshi..anadebate kwenda kwani kuna wanaomvunja moyo kwamba utapoteza nauli bure...mara nyingi interview za mavyuoni mtajikuta mko hata 2000 na mnafanya tu kama formality...kuna wanaomwambia aende ...please kwenye ushauri zaidi kwenye hili au mwenye experiences kuhusiana na hili...tumsaidie
 
Hao jamaa hawana hata maana awaache tu...mtakutana wengi ajabu halafu nafasi haya kumo hazifiki mie nloshafanya interview nao nliingia shift ya 8 na bado watu walikua wanaendelea mpk saa kumi pale Udsm sina ham nao yenaaa
 
Kama hana kazi kabisa bora aende akapate uzoefu wa interview, ila akitaka kusubiri interview za kuitwa watu wachache miaka hii na hana uzoefu kazini atasubiri sana
 
Sometime tujifunze kuwa Risk taker, mwache aende akafanye usaili, kumbuka safari yake itajumuisha vitu vingi pia si usaili tu, ndani ya basi, ndege au chombo hicho atakachotumia atakutana na watu na may be wakaongea mengi huwezi jua, akifika Dar pia atakutana na watu huwezi jua atazungumza nao nini (anaweza pata mtandao na watu hata 2 na badae ukamtoa), uzoefu wa usaili pia, lakini pia huenda hiyo kazi ni yake. Kama uwezo upo mwache aende akafanye usaili, kukaa unawaza (-) kwa kila kitu ni shida.
 
Sometime tujifunze kuwa Risk taker, mwache aende akafanye usaili, kumbuka safari yake itajumuisha vitu vingi pia si usaili tu, ndani ya basi, ndege au chombo hicho atakachotumia atakutana na watu na may be wakaongea mengi huwezi jua, akifika Dar pia atakutana na watu huwezi jua atazungumza nao nini (anaweza pata mtandao na watu hata 2 na badae ukamtoa), uzoefu wa usaili pia, lakini pia huenda hiyo kazi ni yake. Kama uwezo upo mwache aende akafanye usaili, kukaa unawaza (-) kwa kila kitu ni shida.

Kweli kabisa,
 
Back
Top Bottom