The world now is very fair to every one wajaribu hiyo idea yako it might work vzuri sanaKina Fetty na Kipanya kama wana fanbase kubwa waanzishe podcast yao au waruke moja kwa moja YT. Dunia ishaachana na mambo ya radio na urasimu wake.
Ukiwa kwenye gari unaenda au unatoka kwenye mishe zako katika foleni za hapa na pale asubuhi au jioni unaskilizaga AMAPIANO tuu?
Mwanzo mgumu nao watakuja kukubalika na kupendwa ukisema hata hao waliingia wakiwa wachanga na palikuwepo na watu mashuri lkn muda wao walipendwa na kujulikana na hata hawa wapya muda wao watakuja kupendwa na kusifiwaHoja si kwamba wasiende kusoma. Hoja ya msingi ni kwamba walio soma wana kipi cha extra ambacho ni very significant?? Uwasilishaji wa hoja umekua mbovu kipindi hakina ladha, mimi binafsi nabadilisha sana stesheni asubuhi, unlikely the previous times
Acha hiyo sasa jana nimesikia moja ya kuanzishwa kwa jukwaa la WACHAMBUZI wa makala. Jukwaa lipo chini ya mjengwa majidi.Mkiambiwa hiyo ithibati iliyoanzishwa ina wapuuzi wengi muwe mnaelewa. Kipindi kimepoa sana baada ya wale wajuba kuondoka. Kulikuwa kuna ulazima gani kutoa watu wasio na ithibati wakati kazi wanaiweza?
Mnyororo wa soko wao hawajui. Nchi hii ina wapuuzi wengi sana hasa wa ccmWakati wapo hawa jamaaa MASOUD CZA na FETTY walikua wa hoja walikua na hamasa ya kipindi na walikua wana match sana na muda wa asubuhi akili ya kila msikilizaji iko fresh ila hawa waliopo akina NTIBA na wenzake hamna cha maaana wanaleta, hakuna specific objectives wala uchambuzi wa hoja wa maana hakuna.. wasomi wanalicost hili taifa katika sehem nyingi sana, kama kina Kipanya na Fetty waliondolewa kisa hawana taaluma bas taaluma yenyewe ndi haina maana kama watu ndo hawa kina NTIBASHIMA na crew yote.