na mimi pia nakazia hapa,Mkuu Mimi Natumia MI ingawa Hapo Haipo ni mAh 10400 inauzwa 50k. Ipo Poa Sanaa
Hii karatasi kama aliyoandikia jamaa majina ya makatibu wakuu...Heri ya mwaka mpya wana tech, gadgets and science forum.
Naomba msaada katika hili.
Nime attach picha hapa chini:
View attachment 314159
Hiyo Toshiba 500GB ni memory au powerbanlk?
Mimi mbona nilinunua kwa 20k au ni fakena mimi pia nakazia hapa,
Ingia Hapa Kujua Kama Ni Fake Au OriginalMimi mbona nilinunua kwa 20k au ni fake
Nashkuru mkuu, yangu ni fake. Naomba mnielekeze mliponunua zenu wewe na @Chief-Mkwawa
Nashkuru mkuu, yangu ni fake. Naomba mnielekeze mliponunua zenu wewe na @Chief-Mkwawa
swahili mobile lipo stand za magari ya mwenge/kawe/masaki yale yenye rangi ya blueNashkuru mkuu, yangu ni fake. Naomba mnielekeze mliponunua zenu wewe na @Chief-Mkwawa
MI ziko poa sana, tatizo feki ziko nyingi sokoni kuliko Genuine. kama uko Mwanza tuwasiliane nikuuzie ninazoNashkuru mkuu, yangu ni fake. Naomba mnielekeze mliponunua zenu wewe na @Chief-Mkwawa
mkuu Chief-Mkwawa hapo swahili mobile MI power bank zimekwisha, tunaomba maelekezo ya duka jingine.swahili mobile lipo stand za magari ya mwenge/kawe/masaki yale yenye rangi ya blue
mkuu Chief-Mkwawa hapo swahili mobile MI power bank zimekwisha, tunaomba maelekezo ya duka jingine.
Kwa huo ukubwa si capacity tu bali pia uwezo wa kuingiza chaji upesi upesi maana unaweza kesha kuijaza hio simu.Mimi simu yangu ina betri yenye capacity ya 5050 mAh. Natakiwa kutumia power bank ya capacity gani kwa matokeo chanya?