Poverty in USA

Poverty in USA

President of China

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2018
Posts
31,674
Reaction score
89,649
Guys kumbe nchi iliyoendelea nayo ipo na maskini.

Nashindwa kuelewa.

Screenshot_20210401-224237.png

 
Ha ha ha..... Inaonekana maskini wanakula na kushiba sana kuliko matajiri
Ma vyakula cheap ma burgers yananenepesha sana, matajiri wanakula mavitu organic halafu kwa vipimo.

Ukimuangalia Tim Cook, Bill Gates au Mark Zuckerberg kwa sie tuliozoea tajiri mtu mnene kama Peter Msechu, unaweza kufikiri hawa vidampa tu.

Kumbe ndio mabilionea wenyewe hao.
 
Back
Top Bottom