Poverty declines in Tanzania over past decade

Ole

JF-Expert Member
Dec 16, 2006
2,157
975
1576612969396.png


JPM akiwa Mwanza kwenye sherehe za uhuru
Wenye wivu huwa hawakosekani, Chapa kazi JPM watanzania wengi tupo pamoja katika kulijenga Taifa. Hizo ni data the WB full story fuata link hapo chini.

=====


Poverty declines in Tanzania over past decade
By PAUL REDFERN More by this Author

Tanzanian President John Magufuli (centre) in Mwanza on December 9, 2019. Poverty is declining in Tanzania according to a new World Bank report. PHOTO | AFP
In Summary

The World Bank said that it had confirmed that the government’s “basic needs poverty rate” had declined from 34.4 per cent in 2007 to 28.2 per cent in 2012, and to a further 26.4 per cent in 2018.

Advertisement

Poverty is declining in Tanzania according to a new World Bank report, but nearly half the population still lives on less than $1.90 per day.

The report, issued last week, said that mainland Tanzania “recorded sustained economic growth and poverty reduction over the past decade, (although) the poverty reducing impact of economic growth has been slowing down”.

The World Bank said that it had confirmed that the government’s “basic needs poverty rate” had declined from 34.4 per cent in 2007 to 28.2 per cent in 2012, and to a further 26.4 per cent in 2018.

“Further reduction in poverty is welcome news,” said Bella Bird, the World Bank country director for Tanzania, Zimbabwe, Zambia and Malawi. “But it is important to accelerate the trend, as the number of the poor is still high, and the majority of Tanzanians are vulnerable to falling back into poverty at the slightest shock.”

The World Bank says that there are “emerging signs of a structural transformation” in the economy that can be seen in the increasing share of industry and services in total employment. Agriculture is employing fewer workers, and those who remain in the sector are diversifying towards non-farm wage and self-employment.

“With an increase in the economic returns outside agriculture, there is a growing need for investments in human capital especially among the poor and the vulnerable. Increasing access to productive employment opportunities is key to sustaining the momentum picked up during the past decade,” Ms Bird said.
Advertisement

Key findings included improved access to basic services like water and sanitation facilities, as well as energy. School enrolment rates have also increased, and a higher proportion of the labour force is working in secondary and tertiary sectors.

However, despite these improvements, “overall education level and access to basic services remain low, particularly for the poorest and for those living in rural areas. This is reflected in recent growth being less pro-poor, widening the welfare gap between the rich and the poor”.

The World Bank says that poor people in Tanzania still have “limited access to better job opportunities”, adding that persistent high population growth “is a major challenge for poverty reduction efforts, but it can be a huge opportunity with the right investments and policy initiatives”.

 
Afrika ina mengi ya kujifunza kutoka kwa uongozi wa Magufuli, akiendelea hivi miaka mingine mitano umaskini utakua historia Tanzania.
 
  • Thanks
Reactions: Ole
Kweli CCM hamnazo! Takwimu ni kwa ajili ya muhongo mmoja uliopita, from 2007; lakini wanakuja kumsifia mtu ambae ndo muda wake akiwa madarakani, trend inaonekana imeshuka!!!! Takwimu zinasema
The World Bank said that it had confirmed that the government’s “basic needs poverty rate” had declined from 34.4 per cent in 2007 to 28.2 per cent in 2012, and to a further 26.4 per cent in 2018.
Sasa hapo utaona kwa miaka 5, kuanzia mwaka 2007 hadi 2012, umaskini unaotokana na basic needs ulishuka kwa 6.2% lakini miaka 6 mingine kuanzia 2012 hadi 2018 ambayo Magu nae amechangia, umaskini umeshuka for ONLY 1.8%!!

Sasa hivi hapo hata ukimuuliza mtoto wa Darasa la VI atashindwa kufahamu kwamba wakati wa Magufuli umaskini unapungua kwa kasi ndogo sana ukilinganisha na awamu iliyopita?!!
 
Kweli CCM hamnazo! Takwimu ni kwa ajili ya muhongo mmoja uliopita, from 2007; lakini wanakuja kumsifia mtu ambae ndo muda wake akiwa madarakani, trend inaonekana imeshuka!!!! Takwimu zinasema Sasa hapo utaona kwa miaka 5, kuanzia mwaka 2007 hadi 2012, umaskini unaotokana na basic needs ulishuka kwa 6.2% lakini miaka 6 mingine kuanzia 2012 hadi 2018 ambayo Magu nae amechangia, umaskini umeshuka for ONLY 1.8%!!

Sasa hivi hapo hata ukimuuliza mtoto wa Darasa la VI atashindwa kufahamu kwamba wakati wa Magufuli umaskini unapungua kwa kasi ndogo sana ukilinganisha na awamu iliyopita?!!

Kwa hiyo tusema umasikini umeongezeka? Sawa mkuu, umasikini Tanzania umeongezeka ili na wewe uwe na amani moyoni mwako..
 
Kwa hiyo tusema umasikini umeongezeka? Sawa mkuu, umasikini Tanzania umeongezeka ili na wewe uwe na amani moyoni mwako..

Duuu, hii post inaonyesha ni zile hoja za kulazimisha.
 
Back
Top Bottom