Postmodernism

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
299,047
751,676
a0a16012ceb5a89507669d9e6efbbed8.jpg
 
madhara ya kulala na watoto, na aliyewapiga picha angezibuliwa makofi hadi aone nyota nyota
 
Huyu aliyepiga hii picha hakutakiwa kuipiga picha bali alitakiwa kuwachapa sana hao watoto
 
Hawa watoto nadhani msingewaweka hapa
Hapana Zamaulid so long sura hazionekani privacy yao iko protected lakini hii ni jamii photos kuna mengi ya kujulishana hapa na hii picha ni mojawapo ya ujumbe wa kinachotokea kwenye jamii yetu leo hii
 
Sasa kama aliwapiga picha halafu akawashushia njiti je
Hawapaswi kuadhibiwa bali kuonywa na kuelekezwa..hilo sio kosa Lao wameona wakubwa wanafanya pengine live au kwenye video
Hapa kosa ni la mzazi/mlezi na jamii kwa ujumla..kuna mambo tunawasingizia watoto lakini kiuhalisia hawastahili hizo lawama
 
Back
Top Bottom