Mungu tunusuru na Sodoma na Gomora.
Wamekopy from mumy and dadyMmh wanacheza kikubwa! Wameona wapi?
Sasa kama aliwapiga picha halafu akawashushia njiti jeHapana Zamaulid so long sura hazionekani privacy yao iko protected lakini hii ni jamii photos kuna mengi ya kujulishana hapa na hii picha ni mojawapo ya ujumbe wa kinachotokea kwenye jamii yetu leo hii
Hawapaswi kuadhibiwa bali kuonywa na kuelekezwa..hilo sio kosa Lao wameona wakubwa wanafanya pengine live au kwenye videoSasa kama aliwapiga picha halafu akawashushia njiti je