POSTINOR: Morning After pills...

Naruhusiwa kuitungia filam au kuna malipo yoyote
 
Last edited by a moderator:
Hata mimi nimeshavisikia kwa rafiki yangu; siviungi mkono...ni sawa na kutoa mimba tu; maana vinafanya nini kama si kuua kiumbe cha siku moja?

Sikumbuki vizuri maana ni muda lakini ni kama vile wakati ananambia alisema ana stop kwa kuwa amesoma mahali kuwa vina madhara...kansa kama niko sahihi...ngoja tu google.


Inategemea na imani yako, yangu hainiambii kuwa ni jambo zuri.
 

@nyumba kubwa kiumbe kinaanza kuitwa kiumbe wakati gani!??

Suppose inatumiwa masaa 12 baada ya tendo, au masaa sita baada ya tendo...kuna kiumbe kunakuwa kimeuliwa hapo!??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…