Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,643
- 4,182
WEWE TAJA ADA KAMA WAIJUA,Akili hata moja
GPA INASOMA??
HICHO KIPENGELE CHA G.P.A WE TULIA TU!
WEWE TAJA ADA KAMA WAIJUA,Akili hata moja
GPA INASOMA??
Million sita na mkuu ila nusu unalipa kwa mwaka sio yote kwa mkupuoNINI??
MILLIONI NGAPI??
DAAAAAAAAAAAAAAAH!!!Million sita na mkuu ila nusu unalipa kwa mwaka sio yote kwa mkupuo
Tena kwa udsm ujipange kiakili na kisaikolojia mana msuli wa undergraduate cha mtoto assignments za kutosha had kulala inakua bindeDAAAAAAAAAAAAAAAH!!!
ILA HIZI MASTAZ ZA MIAKA HII TUTANYOOKA KWELI!
Tafuta moja tu aliyekufundisha...Wakuu Application za postgraduate za UDSM zishatoka. Application mwisho 13/5/2016. Pamoja na mambo mengine wanatakiwa Referees watatu. Je, hawa lazima wawe kati ya wale waliokufundisha BACHELOR DEGREE? Kwenye guideline yao hawaja upload ukifungua inasema : TO BE ADDED. Msaada Tafadhali
SA' MWANANGU MAMBO GANI YA KUTISHIANA HAYO!!!Tena kwa udsm ujipange kiakili na kisaikolojia mana msuli wa undergraduate cha mtoto assignments za kutosha had kulala inakua binde
kwa nini usipite kwenye tovuti yao?AHSANTE MKUU, PIA NINGETAJIWA EXACT AMOUNT INGESAIDIA SANA.
Nakubaliana na wewe kabisasina hamu na udsm kabisa.mungu akisaidia masters ntafanya hata online kwenye vyuo vya uingereza.