Mr eze95
Member
- Feb 1, 2019
- 34
- 24
Habarini za muda huu..
Ni imani yangu kila mmoja wetu amefanikiwa kuifikia siku ya leo na kama ni hivyo basi hatuna budi kumshukuru mwenyezi Mungu kwa pumzi hii ya uzima.
Bwana mi langu moja tu, nilikuwa nauliza ni lini post za ajira ambazo wadogo wetu waliomba siku za hivi karibuni zitatoka? Ikumbukwe tu kuwa deadline ilikuwa tar 15 march, 2019
Kwa mwenye dondoo tukifahamishana Tutakuwa tumesaidiana sana.
Akhsanteni
Ni imani yangu kila mmoja wetu amefanikiwa kuifikia siku ya leo na kama ni hivyo basi hatuna budi kumshukuru mwenyezi Mungu kwa pumzi hii ya uzima.
Bwana mi langu moja tu, nilikuwa nauliza ni lini post za ajira ambazo wadogo wetu waliomba siku za hivi karibuni zitatoka? Ikumbukwe tu kuwa deadline ilikuwa tar 15 march, 2019
Kwa mwenye dondoo tukifahamishana Tutakuwa tumesaidiana sana.
Akhsanteni