Dah ni nuxsi mkuu ,hebu ingia ajira portal , ajira za Engineering ni chache kinoma nchi hii , Mimi mwenyewe ni Engineer kama wewe Ila sijafanikiwa kupata mchongo bado
Anzia Kwanza ajira portal naona wameanza na za tutors WA vyuo vya serikali Kwa watu wenye fani za Engineering .
Pia ukitaka kupata kuona chache zinazotangazwa ingia Google halafu type "New Engineering jobs in Tanzania" hapa kila website local ya matangazo ya ajira ita appear then utaingia koja baada ya nyingine .
Tuwe tunapeana updates mbalimbali wahandisi , naona wengi wapo kimya sana humu , tunazidiwa na walimu .
Mi Nina shahada ya uhandisi WA umeme na electronics we unafani gani ?
Tupeane michongo wahandisi aisee