Ni mwezi wa tano sasa umetia hatuoni dalili zozote au fununu kuhusu post za kidato cha tano,kwa kweli serikali ituonee huruma uku mtaani tulipo tumekaa mpaka tumechoka,au kwa yule anaye jua au hata fununu kuhusu hizo post zinatoka lini,tena tafadhali sana tujulishe ndg.