post za jeshi 2013

post za jeshi 2013

Kakajambaz Jr

Member
Joined
Oct 4, 2012
Posts
59
Reaction score
13
samahan ndugu zangu naomba mnisaidie kujua nafasi za kujiunga na jeshi mwaka wa 2013 zinatoka lini au zimeshatoka,na utaratibu wao wa kutuma maombi uko vipi.
 
Nenda kawaulize wahusika pale lugalo.
 
Mkuu hapo ulipo nenda kwa Mshauri wa Mgambo Mkoa/Wilaya utapata majibu mazuri sana maana hao ni lazima wajue.

Ajira zinaanza Wilayani hadi Taifa.
 
Fani yoyote tu hasa udreva na ufundi magari,ila elimu iwe iv,lacvyo utapoyeza mda wako tu

Sent from my BlackBerry 9780{katefar}
 
Jeshi wataanza kuchukua vijana walioko JKT...kama kweli unawinda huko jiunge na JKT uwe kama unapoteza muda kwa uzalishaji mali...utaingia jeshini
 
samahan ndugu zangu naomba mnisaidie kujua nafasi za kujiunga na jeshi mwaka wa 2013 zinatoka lini au zimeshatoka,na utaratibu wao wa kutuma maombi uko vipi.

Jeshi lipi kaka,zimamoto,polisi,jkt au. . ?
 
Cku hizi kujiunga jeshi JWTz mpk upite JKT na intake ilikuwa mwezi uliopita labda usubiri intake nyingine
 
andaa na kadi ya ccm maana tumestuka mnaweza kwenda kupiga picha na wakristo wa kichaga wa kaskazini
 
Back
Top Bottom