Tamu chungu
Member
- Dec 20, 2015
- 85
- 64
- Thread starter
- #21
Kwahiyo ulitaka uitwe pekee yako....?? Ndio maana kuna usaili wa mchujo...........ila kama vipi endelea kusubiri interview utakayoitwa pekee yako.
Acha kutoa mapovu....nani aliekwambia nataka niitwe peke yangu ?Kuna sehemu hapo juu nimeandika nataka niitwe peke yangu ?hata wasiponiita mimi ni sawa ili yafaa uwiano wa nafazi za kazi ulingane na idadi ya walioitwa kwenye usaili....Division 5 unashida sana wewe