Post JK Presidency

Post JK Presidency

Sam Seaborn

Member
Joined
Aug 20, 2011
Posts
98
Reaction score
39
Hivi kuna mtu anaweza ku predict JK akishaondoka in 2 years time hali itakuwaje na watu gani wataathirika positively au negatively?

Na legacy yake itakuwa ni nini?

Na je atakuwa ana rank gani kati ya marais ambao TZ imepata kuwa nao?

Je atakuwa na roles zipi akishamaliza?
 
Atarudi kwa Sheikh Mohamed pale Chalinze ili awekewe sinia la wali kuku kichwani na watoto waitwe kula hapo hapo kichwani. Hii ilifanyika mwaka 1995 wakati anatafuta Ubunge.
 
Je atakuwa na roles zipi akishamaliza?

Atakuwa mwakilishi wa kudumu wa raisi atakayechaguliwa kwenye misiba na maziko
 
very interesting, japokuwa hii ilitakiwa iwe kwenye jokes.lakini nashukuru kwa sababu sisi wengine ni mara chache sana kwenda kwenye jokes na yanayofanana na hayo.
 
Hivi kuna mtu anaweza ku predict JK akishaondoka in 2 years time hali itakuwaje na watu gani wataathirika positively au negatively?

Na legacy yake itakuwa ni nini?

Na je atakuwa ana rank gani kati ya marais ambao TZ imepata kuwa nao?

Je atakuwa na roles zipi akishamaliza?

Atakwernda jela hapa au nje au atapata yasiyotarajiwa kwa kujitengenezea maadui ndani na nje.
 
I believe I can fly
I believe I can touch the sky
I think about it every night and day
Spread my wings and fly away
I believe I can soar
I see me running through that open door
I believe I can fly
I believe I can fly
I believe I can fly

- R. KELLY

Gulfstream-G-650.jpg
 
Atakuwa na makazi ya kudumu maili saba toka Tanga mjini pale maweni, yaani kifupi atakuwa wa jea jela.
 
Hivi kuna mtu anaweza ku predict JK akishaondoka in 2 years time hali itakuwaje na watu gani wataathirika positively au negatively?

Na legacy yake itakuwa ni nini?

Na je atakuwa ana rank gani kati ya marais ambao TZ imepata kuwa nao?

Je atakuwa na roles zipi akishamaliza?

Kwani sasa hivi katika marais wastaafu kuna rank gani?

Role mara nyingi Rais mstaafu mwenyewe huchagua.
 
Back
Top Bottom