wadau naomba kuuliza hii kitu post graduate ni kiwango gani cha elimu, unaingia ukitoka diploma au master au degree?
Kawaida unasoma kwa miaka mingap na ukitoka apo unaendelea na kiwango gani cha elimu? Anaweza kuchukua mwenye advanced diploma?
Naomba kuwasilisha mada...
Kawaida unasoma kwa miaka mingap na ukitoka apo unaendelea na kiwango gani cha elimu? Anaweza kuchukua mwenye advanced diploma?
Naomba kuwasilisha mada...