Swali lako liko too general ndo maana kuna majibu sahihi kbs unapewa lkn unashindwa kushika lipi cause ur question is too broad, but, ntajarb kufafanua kadrinami navyoelewa kdgjuu ya hili:
1. Postgraduate ni kitu baada ya shahada ya kwanza, so kama ni mwanafunzi anayesoma kitu baada ya shahada ya kwanza huyo ni postgraduate student, kama ni kitu kinachosomewabaada ya shahada ya kwanza hicho ni postgraduate program
2. Postgraduate programs hizi zipo za aina nyingi, ntazidadavua kidogo, maana nahisi swali lako lilinga hapa:
i. Postgraduate Diploma (PGD):
Hii ni program inayofanywa na mtu mwenye shahada ya kwanza au equivalent qualifications, PGD mara nying inatumiwa na mtu mfano ana Bachelor ya kitu A na anataka kufanya Masters ya kitu B, hivyo anafanya PGD ya hicho kitu B then anafanya hiyo Masters ya hicho kitu B
ii. PGD inatumika kwa mtu mwenye shahada ya kwanza ya kitu A au equivalent qualification to shahada ya kwanza ya kitu A na ataka kufanya masters ya kitu hicho hicho A, lkn ufaulu wake wa shahada ya kwanza ni wa "pass degree" yaani GPA ya 2.0-2.6, huyu sasa anafanya PGD ya kitu hicho hicho A ili aongeze sifa za kufanya Masters ya hicho kitu A.
iii. Wenginine wanafanya PGD kwa ajili tu ya kuongeza maarifa, mtu ana shsahada ya kwanza ya kitu A na GPA nzuri kbs, lkn anataka kuwa na maarifa ya kitu B pia, sasa anafanya tu PGD ya hicho kitu B basi ili ajiongezee maarifa zaidi.
Pole kwa maelezo marefu