Huu niwakati wavitendo watz tumekua shamba labibi kwawageni lakini sasa mpaka wenyewe kwawenyewe tunanyonyana kama kupe tena live, how come mtu anapata mshahara wamtu wa mwezi kwasiku halafu anasema maisha magumu nasisis tusemeje? Politics now is a bizz na inalipa vibaya