Posho za wabunge: Wamiliki hoteli Dodoma wamkana Makinda

Dodoma bei za Guest zipo chini sana,mimi mwaka jana mwez wa 6 nilala VICTORIALAND LODGE tsh 12000(self&superspot tv) napata chai asubuh&mwez wa saba nililala ZUBBY LODGE tsh 15000(self&superspot tv)tiles,mitaa ya Iringa load,yule bibi na wenzake ni WALAFI tu.
 
Anna aliamua tu kutetea nyongeza ya posho walizojiongezea kinyemela bila kuwa na data za hali halisi ya gharama za maisha ya Dodoma. Sijui wabunge wote ni mafisadi?!
 
Mhhhhhhhhh! muda wote huo walikuwa wapi kutoa hayo maelezo?au ndo kusema akili zao zimeamka sasa!
.........
Hata hivyo, Mwenyekiti wa chama hicho, Chavuma Taratibu, alisema uchunguzi uliofanywa na chama hicho ................nadhani ndio jibu
 

Namsubiri mwenyekiti wa totoz za Dodoma naye aseme kama nao wamepandisha dau ili ukweli ujulikane!
 
Tunawalea sana wabunge wetu... we have such low expectations.
Hawa wajengewe hosteli na serikali, kwanini walale guest house?.. na mbunge wa Dodoma mjini nae analipwa posho?
 
Tunapishana nao sana kwenye viji corridor vya gest ambazo wote tunalipia elfu 20,sasa inashangaza huyu bibi kudanganya umma wa waTz kiasi hiki na Gest zao maarufu ambazo ni bei cheap nazijua sana ambapo waonaishi humo wengi wao ni hawa Wabunge
 
Tunawalea sana wabunge wetu... we have such low expectations.
Hawa wajengewe hosteli na serikali, kwanini walale guest house?.. na mbunge wa Dodoma mjini nae analipwa posho?

Hahahahahaha mkuu tena huyu bwana Malole cjui kapotelea wapi yani baada ya Uchaguzi hajarudi tena kwa wananchi kutatua kero zaidi,lakn ndio faida ya kuchagua Magamba
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…