Pornograph(picha za ngono)

Uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako.
Watu wa viwango nao sijui huwa wanawaza nini, wanajua sigara ina athari kubwa kwa afya sasa badala ya kuipiga marufuku ndio kwanza wameihalalisha

Na cha ajabu katika pakiti kwa nje wametoa tahadhari sigara si nzuri kwa afya yako

Wajameni mbona inachanganya sana
 
Safi sana brains, huwei kuleta hoja hazisaidii halafu tukubali kujibu tu. Mleta mada nafikiri hili ni somo. Nimepita tu kwa page 1 naona kuna up to page 3 sijajua pages 2 na 3 wamemjibu kitu gani!!!
 
yaani nimechoooka kweli na nimecheka mnooo maana kila mtu kaweka mada yake ila hii nimeipenda maana haina mahusiano kabisaaaa

mada yenyewe tata hapo juu unadhani tutachangiaje
 

Ujinga tu not more than ignorance
 
Hebu tuburudike na hiki kibao kiitwacho Earth angel kutoka kwa wakali The Penguins
 
Last edited by a moderator:
Ile bangi wanayovuta kule BMK inatoka lile jimbo la usa marijuan free state
 
Hahhhhhhahhhhha kisa cha kusonyaa ni niniii

wengi tunaonekana kukatishwa tamaa na kinachoendelea bungeni. nakwambia sikuamini misonyo na matusi yaliyotoka kwa watu waliokuwepo pale. nusura na mimi nitukane eti.

Siipendi TBC!!!! Bora ingelikuwa channel nyingine huenda ningeangalia mjadala bungeni wa katiba!
 
Bunge La Katiba Livunjwe,Na warudishe Posho
 

Bora serikali 3
 
Mimi naona kila mtu awe na serikali yake tuheshimiane mnaonaje wajumbe?
 

Zina faida zaidi kuliko hasara. Kwanza zinatoa burudani na darasa la bure kwa vijana, hakuna risk ya mimba zisizotarajiwa wala magonjwa ya zinaa, na miaka ya karibuni technology imesaidia zinapatikana kwa urahizi zaidi.
 
me naona serikali ziwe nyingi tuu kwani kila jimbo liwe na mamlaka yake kama Marekani na kwinginekoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…