Msiwe na shaka, na wala sitaki watu muunderestimate KLH News.. Rais ataulizwa maswali. Nilikuwa nitume fax siku ya Ijumaa ya kujaribu kupanga hayo mahojiano then hili limetokea (msiba) so it threw me off...Lakini msiwe na shaka... We will go where no Tanzanian media has ever dared to...!!