Pornograph(picha za ngono)

Al-shabaab

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2013
Posts
1,791
Reaction score
620
Habari wana MMU,

Miaka ya hivi karibuni kumekua na wimbi kubwa sana la ongezeko la picha hizi za porn katika mitandao mbali mbali na sababu kubwa ninayoiona mimi ni kukua kwa teknolojia duniani.

Hivyo ningependa kupata michango yenu juu ya faida na hasara ya picha hizi hasa katika mahusiano ya kimapenzi
karibuni....
 
Kuongeza mautundu wakati wa ligi
 
Amini usiamini serikali tatu hazifai jamani.maana zikiwepo ni kwamba hakuna muungano coz kila nchi itasimama yenyewe ss na hiyo serikali ya tatu cjui itakua inaishi vp hpo??
 

Hakuna faida yake ni fedheha tu maana zaweza kuvuja muda wowote labda kww kupotelewa na simu au rafiki azitizame ajitumie. Au waweza kukorofishana na mpenzi akazivujisha ili akukomoe. Wanawake acheni upuuzi huu. Anayekupenda kweli hawezi kukudhalilisha kwa kukupiga picha za utupu.
 
yaani atletico madrid knocked out the mighty?? can't believe it.. afu man united bana.. hivi walitegemea kushinda jana, lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…