Huku tembo hawapo mkuu?Mashamba yapo, Vianzi na Menge. Wilaya ya Mvomero, kutokea morogoro mjini unaweza tumia nauli kama 6000 hv kwa pikipiki, ukitokea Lukobe, lakini being sio hiyo mkuu, huku bei imechangamka kidogo kwa ekari ni 400000. Huku yanafaa zaidi kwa kilimo cha tikiti, alizeti, mahindi na mkonge. Pia unaweza kata viwanja kwa maana kuna makazi pia. Nb mimi sio dalali nakupa code tu.