Popobawa ametekwa na wasiojulikana?

Popobawa ametekwa na wasiojulikana?

appoh

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2013
Posts
5,819
Reaction score
3,088
Ni muda sasa umepita hatujamsikia je amepitiwa na wimbi la utekaji uliokithiri maana alikua na utaratibu wa kila mwaka kuchagua mtaa au wilaya zilizompendeza na kuwasalimu wanaume tu usiku wa manane na shart lake uende hadharan ukasifu ukarimu wake usiku wa jana la sivyo atakua mgen wako kila usiku unapopitiwa na usingiz

Miaka imepita hajulikan alipo yupo hai yupo salamaaa kweli
 
Hakuna kitu inaitwa popobawa, ni stori za kusadikika tu.

Hasa kwa watu wa imani fulani hivi pwani.
 
tokea amekufa na popobawa stories zikaishia hapo

huyu atakuwa alikuwa mfiraji sana kwa.mgongo wa popobawa
Aliwezaje kusafir dar nzima kwa siku moja na kulawiti wanaume hamsini kila mtu bao mbili
 
watu walikua wanakesha nje 🤣 bongo inasafari ndefu sana
 
Alishawahi kuwa mgeni wako ? Vile umemwelezea ni kama unamjua vyema, tupe ushuhuda
 
Sijawahi kuamini hii, nilikuwa nalala ndani kama kawaida na hakijawahi tokea kitu..
Lakini pia katika maisha yangu sijawahi kukutana na mtu amekiri katafunwa na popobawa, wakati sharti lake ililuwa lazima utangaze
 
Huyo alikua ni mtu tu mshirikina, aliwaingilia.

Hata kwetu kuna wilaya moja, jamaa alikuwa akifanya mchezo huu kwa wake za walim, waliamka ahsubuh imerowa tiar, na wanamtaa.
Walikuja kumgundua akatoroka. Ila walimfukuza cjui akatokomea wap
 
Back
Top Bottom