Popo kanyea mbingu, style maarufu

Popo kanyea mbingu, style maarufu

Du... Hivi lini tutapunguza ukosefu wa ajira.

Popo kunyea.... Tafuta video ebu Jamba kidogo. Utaona kwa vitendo popo kunyea mbingu
 
Ananyeaje mbingu popo sasa? Jamani mbona mnanichanganya?
Kamata seat ya pili mwali; Nasubiri wajuzi waje kutujuza
Mkuu, hivi umeangalia jinsia ya huyu member kweli....!!??
Na kilicho nistua zaidi na kuniswalisha ni, kama yeye ni Me... kwanini ameweka Avatar tatanishi....!!??
20190418_162041.jpeg
 
Kila siku nasema ntajaribu nikiwa napanda lakini nanogewa mpaka nasahau kuulizia hiyo style,hii wiki lazima niombe popo na mimi nisipitwe.
 
Kwa maelezo ya wahenga inasemakana popo alikuwa akichekwa na ndege wengine kwa nini yupo hivo sasa kwa hasira zake akasema atamwonyesha munguyeye ni nani..akasema atakuwa analala chali ili awe anamkojolea mungu na kumnyea mpaka sasa akajikuta yeye ndo anajinyea na kujikojolea
Wakuu binafsi style nyingi wakati wa kugegeda nmefanya, ila hii ya popo kanyea mbingu inawezekana nshafanya ila ni jina tu limenichanganya coz naona imekuwa maarufu hapa jamvin. Wanaoielewa naomba muidadavue. Naomba kuwasilisha hoja
 
Ngoja niwaletee picha lakin nikipigwa ban na mods itabd mniombee msamaha
 
acheni utani wazee, nimeshatoa maelezo kwenye post moja asubuhi.,
fanya kupiga magoti alafu kuwa kama unachungilia uvunguni mwa kitanda, so mzigo wooote utakuwa juu kabisa kuanzia kipochi manyoya mpaka ile express ur self, zote zimeachama kama zataka kupiga chafya ya ghafla. hapo utaamua ipi inakufaa kwa matumizi. sasa uko tayar kwa matumizi.
Shukran mkuu kumbe ndoo hii, nmewagegeda sana madem kwa style hii
 
Kwa maelezo ya wahenga inasemakana popo alikuwa akichekwa na ndege wengine kwa nini yupo hivo sasa kwa hasira zake akasema atamwonyesha munguyeye ni nani..akasema atakuwa analala chali ili awe anamkojolea mungu na kumnyea mpaka sasa akajikuta yeye ndo anajinyea na kujikojolea
Haahaahaahaaahaaahaaah aisee umeua mkuu,,, ww ni mhenga
 
Kwa maelezo ya wahenga inasemakana popo alikuwa akichekwa na ndege wengine kwa nini yupo hivo sasa kwa hasira zake akasema atamwonyesha munguyeye ni nani..akasema atakuwa analala chali ili awe anamkojolea mungu na kumnyea mpaka sasa akajikuta yeye ndo anajinyea na kujikojolea
Nimejikuta nacheka tu asee!
 
Back
Top Bottom