PONGWE,NSELUKA DAY CARE CENTER

Ulongupanjala

JF-Expert Member
Apr 9, 2013
7,669
12,293
Heshima kwenu wadau,
Shule ya watoto wadogo imefunguliwa Pongwe,umbali wa nusu kilomita toka Pongwe bus station.
Shule inamilikiwa na mwalimu kwa taaluma na itafundishwa na kuongoza naye.Ina mazingira rafiki kwa kujifunzia watoto halikadhalika utulivu na usalama wa hali ya juu.

Inapokea watoto kuanzia miaka 2-5(Baby class to KgIII)
Shule ipo mtaa wa Sumbawanga,Pongwe,Tanga.
Fomu zinapatikana shuleni.

MAWASILIANO:
0784 469084
0652 515264
0718 194799
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom