Pongezi nyingi sana kwa CHADEMA

Pongezi nyingi sana kwa CHADEMA

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
61,357
Reaction score
100,377
Nisiwe mnafiki, hakuna kitu kizuri kwenye maisha kama kuwa na msimamo! CHADEMA walisimamia msimamo wao kuhusu mikutano ya kisiasa kurudishwa, hawakukubali kuyumbishwa. Walipopata nafasi waliitumia sahihi, na hatimae miongoni mwa mambo mengine, Mikutano yote ya kisiasa IMEREJESHWA!

JE, wale vibaraka waliounga mkono zuio la kipumbavu la mikutano ambayo ipo kikatiba, Leo watasimama upande Gani? Natamani wajitokeze walau Kwa dakika waseme neno vile walisema mikutano ya kisiasa inazuia/inachelewesha Maendeleo!

MUNGU ibariki Tanzania, MUNGU ibariki CHADEMA
 
Nisiwe mnafiki, hakuna kitu kizuri kwenye maisha kama kuwa na msimamo! CHADEMA walisimamia msimamo wao kuhusu mikutano ya kisiasa kurudishwa, hawakukubali kuyumbishwa. Walipopata nafasi waliitumia sahihi, na hatimae miongoni mwa mambo mengine, Mikutano yote ya kisiasa IMEREJESHWA!

JE, wale vibaraka waliounga mkono zuio la kipumbavu la mikutano ambayo ipo kikatiba, Leo watasimama upande Gani? Natamani wajitokeze walau Kwa dakika waseme neno vile walisema mikutano ya kisiasa inazuia/inachelewesha Maendeleo!

MUNGU ibariki Tanzania, MUNGU ibariki CHADEMA
Wanatafakari, tutawaambia nini sisi tuliokuwa tunakaza kamba amri ya haramu ya yule jamaa yetu!
Hii ni aibu kuonekana mtu mzima hovyo! [emoji24]
IMG-20230103-WA0015.jpg


Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom