Pongezi kwa Serikali kwa kuboresha maslahi ya walimu

Wana jamvi,mnyonge mnyongeni,haki yake mpeni,,mh rais wetu kajitahidi saana kupunguza kero za walimu wetu..mf kupata mshahara kwa wakati,,hasa wakati wa ajira mpya,,,kupanda madaraja nk. Katika hili mh rais anahitaji pongezi nyingi.
nadhan unajifunza kutumia jf bt karibu uwanja huu:whistle::drama::glasses-nerdy:
 
Halmashauri ya jiji li Mwanza pia mambo ni vilevile, no salary na kibaya zaidi SIRIKALI wapo kimya, nadhani lisemwalo lipo.............TUSI KALI!:angry:
 
Hata madrasa sunday school, jeshi, karate, kunawalimu. sijui unasema walimu wapi hao. mie bado nadai msharga wa mwezi wa tatu
 
jina lako linashabihiana na hoja zako,,,hujashiba so si wi musugu.... Fanya comperative politics then you l realize what am saying.... Halafu lugha ya matusi si ujanja,,jenga hoja na si kuleta vioja...upulike?[/QUOTE]

Jina sio shida, ila umetuangusha wanyalu! Nijenge hoja gani kwenye jambo amabalo liko uchi namna hii?? Hata mtu aliye USA anajua adha wanayoipata walimu wa Tanzania, we Uliye hapahapa unaamka na mbitu zako unampongeza Rais eti kwa kuboresha maslahi ya walimu!!!!
KWA KUA UMEJIUNGA JF JUNE 2013 ULIKUA UNATAKA WALAU THREAD YAKO IWE NA WACHANGIAJI WENGI! POOR YOU MWAGITO
 
mtoa mada hayupo kwenye fani acha ujinga kuchangia kitu uc cho kijua ni sawa na upuuzi walimu unao sema wameboreshewa masrahi yao nani ka kueleza leo tar.30.june no mishahala kinondoni, ilala, temeke wanaishije halafu wewe jinga unatoa maoni yako bila utafiti wowote umetumwa,maana hata waraka wa mishahara hiyo mipya hakuna ajuaye. basi lipa mishahala ya watu hutaki wakati kazi wamefanya. wew kweli unapata mshahala wako tar 1.july ucjipendekeze fara
 
Nina wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri, kama umetumwa rudi kaseme walimu hawana hamu na ufedhuli wa chama cha mafisadi.
 
dhamila yake mheshimiwa ni nzuri ila watendaji wana muangusha hakuna nyongeza yoyote imefanyika kaka we acha tu
 
mtoa mada inawezekana ukawa unaliwa kama mboga.....hi srkal inawatesa walimu kila kukicha, wewe kama sio mwalimu kaa kimya tu walimu wanajua kila kitu...
 
Wana jamvi,mnyonge mnyongeni,haki yake mpeni,,mh rais wetu kajitahidi saana kupunguza kero za walimu wetu..mf kupata mshahara kwa wakati,,hasa wakati wa ajira mpya,,,kupanda madaraja nk. Katika hili mh rais anahitaji pongezi nyingi.

Mdogo wangu ni Mwalimu.
Ameanza kazi April/March 2013.
Mpaka leo hajui kitu kinaitwa Mshahara.
Acha U Mbumbumbu na Ujuha.
 
hawa sio wakuchekewa, wakati mwingine wanatumwa ili kuangalia hasira za walimu zipo kiwango gani
 
kwa kuishukuru serikali kwa kazi nzuri ya kujali Walimu. mwaka huu matokeo yatakuwa worse kuliko mwaka jana labda D ianzie nne na idadi ya wanafunzi wanaomaliza std 7 pasi kujua kusoma itaongezeka. Any way kwa maslahi bora tunayoyapata mi ntaanza kuingia class kupiga pindi baada ya nanenane
 
Kenya wenzako waliongezewa 300%, alafu wamelianzisha kudai madeni yao ya huko nyuma. Stay tuned....
 
Ni raisi wa kipekee Tanzania kutokea uhuru wa nchi amejaribu pale ambapo wenzake hawakuweza. Mnaompinga mna letu.

Elimu aliyoipata Rais huyu aliisomea India au hapa hapa waliposhindwa wengine? Jakaya kasoma UDSM chancellor Rais Nyerere....waalimu walikua na mikopo ya magari kwa mishahara yao...hili najua litazua majadala usiokwisha naomba wanajf tuwaulize waalimu wa miaka ya 61-75 wa sekondari na vyuo ....msinishambulie mimi... mzazi wangu alikua mwalimu na hadi mwaka 1976 alikua anfundisha chuo cha ualimu
 
Back
Top Bottom