Pongezi kwa sam maela wa itv kwa jitihada zako

Pongezi kwa sam maela wa itv kwa jitihada zako

zamlock

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2010
Posts
3,840
Reaction score
660
hatimaye sam maele amempambania dada yetu mpendwa beatrice amepelekwa india kwa matibabu ya mguu hakika sam ana hitaji pongezi na moyo wake uendelee kuwa hivyo hivyo na wana habari wengine waige mfano wake ili taaluma ya uandishi izidi kuheshimiwa hapa nchini na duniani kote, pia nashauri katika tuzo za uandishi bora kati ya watu watakaopewa basi sam maela awe mmoja wapo. Hakika hata wana jf walio angalia habari ya leo wameshuhudia kwa macho yao jitihada za sam maela
 
hatimaye sam maele amempambania dada yetu mpendwa beatrice amepelekwa india kwa matibabu ya mguu hakika sam ana hitaji pongezi na moyo wake uendelee kuwa hivyo hivyo na wana habari wengine waige mfano wake ili taaluma ya uandishi izidi kuheshimiwa hapa nchini na duniani kote, pia nashauri katika tuzo za uandishi bora kati ya watu watakaopewa basi sam maela awe mmoja wapo. Hakika hata wana jf walio angalia habari ya leo wameshuhudia kwa macho yao jitihada za sam maela

afadhali ya uandishi wa kijana sam mahela kuliko wa prince bagenda na magazeti kama uhuru, tazama na makanjanja wengineo
 
sam maela pongezi zikufikie kwa jitihada zako za kumpigania dada yetu mpaka kapelekwa india kutibiwa hakika Mungu atakulipia kwa utendaji wako wa kazi na iwe ni mfano mzuri kwa wana habari wenzako, na pia nashauri kwa huyu mtu ana stahili tuzo ya uwana habari bora hili liko wazi na wana jf tushirikiane kutoa maoni yetu juu ya huyu mwandishi.
 
afadhali ya uandishi wa kijana sam mahela kuliko wa prince bagenda na magazeti kama uhuru, tazama na makanjanja wengineo

Kwa kwel huyu kijana ana jitahidi sana ana wapigania watu sana wengine wanapata haki zao wengine wanasaidiwa kwa matibabu na pia nimependa sana mahojiano yake pale airpot jamaa inaonekana ana Mungu na hofu ya Mungu ndani yake
 
I wish aanzishe kipindi maalum cha theme za wenye uhitaji....God bless him.
 
Mungu ambariki huyu kijana, yuko makini sana, big up Sam!!!
 
mwandishi wa habari mwenye upendo kama sam maela ana stahili pongezi za dhati na endelea kuwa na moyo huo huo utabarikiwa sana...yule mama aliteseka sana alitoa mpaka machozi,
 
jamani sasa ageukie kwa yule mama mwathirika wa vipande vya Risasi ya mambomu ya mbagala ambaye mpaka leo hainuki kutoka kitandani hata yule mie ilinigusa sana jamani sijui hatima yake itakuwaje
 
Juzi nilimwona tena akimbeba mbaba mmoja asiyejiweza kabisa! Maskini sam anaonekana ni mtetezi wa wanyonge, Mungu akujalie sana sam.
 
Hongera zake,ila namwona anatumia nguvu kubwaa kumcopy na kumpaste jerry muro....
 
jamani sasa ageukie kwa yule mama mwathirika wa vipande vya Risasi ya mambomu ya mbagala ambaye mpaka leo hainuki kutoka kitandani hata yule mie ilinigusa sana jamani sijui hatima yake itakuwaje

Afanye hivyo jaman nasikia anaumwa sana
 
Sam Mahela, jitihada zako zimezaa matunda. Mungu Mwenyezi awabariki wote mliofanikisha safari ya Beatrice.
 
kwa hongera zake nyingi yaani namsifu sana hata kinyaa hana!
 
Back
Top Bottom