Pongezi kwa Rais mstaafu Kikwete

Cosovo

JF-Expert Member
Jul 8, 2018
667
1,795
Nachukua nafasi hii kumpongeza Rais mstaafu mh Jakaya Kikwete mungu akubariki na akupe maisha marefu kwa sababu usingekuwa wewe hakika nisingepata elimu ya chuo kikuu

Wakati nakaribia kufanya mtihani wa kidato cha sita nilikumbwa na matatizo mazito ya kifamilia hata hivyo ilibidi nifanye mtihani ule licha ya kukabiliwa na changamoto ya kufiwa

Baada ya matokeo kutoka yalikuwa mabaya ambapo ilinibidi nireseat mtihani na mungu akanisaidia nikafaulu na kuomba mkopo na kupewa asilimia 70

Hakika ulisaidia nikaliza chuo na kufaulu....natoa pongezi hizi kwake kwa sababu nawaona watoto ambao wanafanya mitihani si kwa kutokujua wakafeli bali ni changamoto za maisha ambazo huenda zilijitokeza na kufeli huo mtihani na bahati mbaya ukishareseat kwa kipindi hiki hupati mkopo

Nasikitika kuwaona watoto wa masikini ambao wamereseat wamekosa mkopo na ndoto zao zinapotea hakika

Mungu akubariki Jakaya hakika ulijua binadamu wanavyohangaika hapa duniani
 
Kipindi cha Kikwete kulikuwa na pressure sana kutokana na proposed East Africa Community's areas of coorporation ambayo ilifikiria kuhusisha unregulated movement of labour. Sasa hapo tulipojifanyia tathmini ikabidi mikakati mikubwa kama UDOM na HESLB ifanyike ili kupata parity kwenye hilo eneo. Bila kuruhusu wanao rejea mitihani nadhani vyuo vingekuwa wazi sana. Sasa ukiangalia Cause-effect relationship ni nani wa kumshukuru hapo?
 
Nachukua nafasi hii kumpongeza Rais mstaafu mh Jakaya Kikwete mungu akubariki na akupe maisha marefu kwa sababu usingekuwa wewe hakika nisingepata elimu ya chuo kikuu

Wakati nakaribia kufanya mtihani wa kidato cha sita nilikumbwa na matatizo mazito ya kifamilia hata hivyo ilibidi nifanye mtihani ule licha ya kukabiliwa na changamoto ya kufiwa

Baada ya matokeo kutoka yalikuwa mabaya ambapo ilinibidi nireseat mtihani na mungu akanisaidia nikafaulu na kuomba mkopo na kupewa asilimia 70

Hakika ulisaidia nikaliza chuo na kufaulu....natoa pongezi hizi kwake kwa sababu nawaona watoto ambao wanafanya mitihani si kwa kutokujua wakafeli bali ni changamoto za maisha ambazo huenda zilijitokeza na kufeli huo mtihani na bahati mbaya ukishareseat kwa kipindi hiki hupati mkopo

Nasikitika kuwaona watoto wa masikini ambao wamereseat wamekosa mkopo na ndoto zao zinapotea hakika

Mungu akubariki Jakaya hakika ulijua binadamu wanavyohangaika hapa duniani
Mzee wa Msoga Alikuwa Ni Mwanasiasa!Kuna Tofauti Kati Ya Mwanasiasa Na Asiyekuwa Mwanasiasa!
 
Kipindi cha Kikwete kulikuwa na pressure sana kutokana na proposed East Africa Community's areas of coorporation ambayo ilifikiria kuhusisha unregulated movement of labour. Sasa hapo tulipojifanyia tathmini ikabidi mikakati mikubwa kama UDOM na HESLB ifanyike ili kupata parity kwenye hilo eneo. Bila kuruhusu wanao rejea mitihani nadhani vyuo vingekuwa wazi sana. Sasa ukiangalia Cause-effect relationship ni nani wa kumshukuru hapo?
Wa kushukuriwa ni mh mkwere kwa sababu alikuwa na nafasi ya kutojali hiyo EAC na badala yake angeamua kuelekeza resources kwenye mambo mengine kama ujenzi wa Msoga international airport, nje ya bajeti ya kibunge na msinge mfanya chochote!
 
Ashukuriwe pia kwa yote yanayoendelea nchini coz yeye ndiye aliye ya acc.
 
Wa kushukuriwa ni mh mkwere kwa sababu alikuwa na nafasi ya kutojali hiyo EAC na badala yake angeamua kuelekeza resources kwenye mambo mengine kama ujenzi wa Msoga international airport, nje ya bajeti ya kibunge na msinge mfanya chochote!
YOU'RE LITTLE BIT RIGHT, NDIO MAANA NIKAKUMBUSHA CAUSE - EFFECT RELATIONSHIP.
 
Back
Top Bottom