Ngoja tuone sahv kama atatusua maana jamaa naye Ana mbinu nyingiSana,ni gwiji
Zingatia braza, alikamatwa usiku wa kuamkia Desemba 10, mwaka huu, katika operesheni kali ya kuwasaka wafanyabiashara wa dawa za kulevya nchini.
Angalia hiyo mwaka huu ni mwaka gani?Zingatia braza
Sasa hao wenzake wote aliyokamatwa nao walinyolewa yeye alitoka,naona alicheza na kesi sinunajua tena ukiwa na watuAngalia hiyo mwaka huu ni mwaka gani?
Mitkas mjini imeadimika sahv ujuweViingilio vya kuanzia 100k mpala 1mil vimeanza kwenye matamasha na soon utaona wacongoman wanavyoanza kumiminika na band zao..
Mitkas mjini imeadimika sahv ujuwe
Na inasemekana mapaka hawapeleki tena mizigo afrika kusini maana hko wamedhulumiwa sana,mpaka sasa kitengo kimefanya kazi nzuri kwa bongo
Ova
Hao wamechomeana tu baada ya kutokatiana mafungu.Pongezi nyingi sana kwao kwa operesheni kabambe ya kuwanasa wauza Dawa za Kulevya almaarufu kama unga.
Tunaona sasa wamedhamiria kuwakamata,
Kamwe wasimuonee mtu yeyote aibu, awe na cheo au awe maarufu kamateni!!
Wapo wengi wanafahamika ambao sasa wamerudi kwa kasi ya ajabu kuuza madawa, hawa watu wanao taka utajiri kwa kuangamiza kizazi chetu nashauri Wapigwe risasi.
Bunge litunge sheria kuwa mtu yeyote akitiwa hatiani kwa madawa ya kulevya anyongwe hadi kufa.
Wauza madawa hawana tofauti na wauaji wengine.
Watanzania wenzangu tuendelee kuwafichua wauza madawa ya kulevya kweye maeneo yetu; Sinza, Kinondoni, Mbagala, K/Koo, Temeke, Boko, na maeneo mengine .
Mitkas mjini imeadimika sahv ujuwe
Na inasemekana mapaka hawapeleki tena mizigo afrika kusini maana hko wamedhulumiwa sana,mpaka sasa kitengo kimefanya kazi nzuri kwa bongo
Ova
WE UKITAKA KUJUWA NDAGA IMEADIMIKA MTAANI,WE ULIZIA BEI YA KETE 1 IKOJE?Kweli hata wazee wa kubembea wamepungua pia.
Hiyo ndiyo namna ya kukamata muuza madawa na ushahidi juuHuyo kusaya unaambiwa ni moto wa kuotea mbali anapiga kazi sio kitoto na akikuweka kwenye target unaambiwa anakua na ushahidi wote hakukamati tu ilimradi
WE UKITAKA KUJUWA NDAGA IMEADIMIKA MTAANI,WE ULIZIA BEI YA KETE 1 IKOJE?
YAH NI KWELI JAMAA WAMEPIGA KAZI SANA
OVA
Ndomana methadone wamejazana sahvi hukoHalafu mateja wengi bidhaa ikiadimika wanakufa sana majuzi nilipita darajani river nilikua na wanangu mateja, nafika napewa data kama 7 hatunao tena maana hawapati dawa
Ndomana methadone wamejazana sahvi huko
Ova
Takukuru waige mfanoPongezi nyingi sana kwao kwa operesheni kabambe ya kuwanasa wauza Dawa za Kulevya almaarufu kama unga.
Tunaona sasa wamedhamiria kuwakamata,
Kamwe wasimuonee mtu yeyote aibu, awe na cheo au awe maarufu kamateni!!
Wapo wengi wanafahamika ambao sasa wamerudi kwa kasi ya ajabu kuuza madawa, hawa watu wanao taka utajiri kwa kuangamiza kizazi chetu nashauri Wapigwe risasi.
Bunge litunge sheria kuwa mtu yeyote akitiwa hatiani kwa madawa ya kulevya anyongwe hadi kufa.
Wauza madawa hawana tofauti na wauaji wengine.
Watanzania wenzangu tuendelee kuwafichua wauza madawa ya kulevya kweye maeneo yetu; Sinza, Kinondoni, Mbagala, K/Koo, Temeke, Boko, na maeneo mengine .