Pongezi nyingi sana kwao kwa operesheni kabambe ya kuwanasa wauza Dawa za Kulevya almaarufu kama unga.
Tunaona sasa wamedhamiria kuwakamata,
Kamwe wasimuonee mtu yeyote aibu, awe na cheo au awe maarufu kamateni!!
Wapo wengi wanafahamika ambao sasa wamerudi kwa kasi ya ajabu kuuza madawa, hawa watu wanao taka utajiri kwa kuangamiza kizazi chetu nashauri Wapigwe risasi.
Bunge litunge sheria kuwa mtu yeyote akitiwa hatiani kwa madawa ya kulevya anyongwe hadi kufa.
Wauza madawa hawana tofauti na wauaji wengine.
Watanzania wenzangu tuendelee kuwafichua wauza madawa ya kulevya kweye maeneo yetu; Sinza, Kinondoni, Mbagala, K/Koo, Temeke, Boko, na maeneo mengine .
Tunaona sasa wamedhamiria kuwakamata,
Kamwe wasimuonee mtu yeyote aibu, awe na cheo au awe maarufu kamateni!!
Wapo wengi wanafahamika ambao sasa wamerudi kwa kasi ya ajabu kuuza madawa, hawa watu wanao taka utajiri kwa kuangamiza kizazi chetu nashauri Wapigwe risasi.
Bunge litunge sheria kuwa mtu yeyote akitiwa hatiani kwa madawa ya kulevya anyongwe hadi kufa.
Wauza madawa hawana tofauti na wauaji wengine.
Watanzania wenzangu tuendelee kuwafichua wauza madawa ya kulevya kweye maeneo yetu; Sinza, Kinondoni, Mbagala, K/Koo, Temeke, Boko, na maeneo mengine .