Pongezi kwa Jeshi la Polisi kwa kudhibiti Panya road

zandrano

JF-Expert Member
Jan 24, 2017
7,123
7,709
Wananchi wenzangu tusiwe tu mabingwa wa kulaumu tu lkn pia tujenge tabia ya Kutoa pongezi, kwani Pongezi iwatia moyo askari wetu ambao wanapqmbana usiku na mchana kuhakikisha usalama wetu na mali zetu.

Pongezi kwa Jeshi la Polisi Mkoa wa DSM kwa operesheni kabambe kwa kuwasaka na kuwakamati hawa "kunguni" wanao joita Panya rodi.

nashauri mwendo huo uendelee, wabanwe hadi watajane wote ambao wapo kwenye mtandao huo.

Sambamba na hilo pia mtandao wa Majambazi sugu pamoja wauza madawa ya kulevya usambaratishwe mara moja.

Tukishirikiana kwa pamoja tutaweza.

Sisi raia wema tupo tayari kutoa taarifa za siri kuwataja wahalifu wote ktk maeneo yetu.

Pongezi kamanda Mliro

Sisi wananchi/raia wema tunaliomba Jeshi letu la Polisi kuwachukulia hatua kali wale wote wanao SHABIKIA VITENDO HIVI VYA KIHALIFU.

kuna miongoni mwa wananchi bila aibu wanafurahia na kushadadia vitendo vya panya rodi nia yao na lengo lao wapate hoja ya kulibeza Jeshi la Polisi eti kuwa halitimizi wajibu wake!!

aina hii ya watu wamo baadhi ya wanasiasa waovu ambao wanatumia Vitendo hivi vya kihalifu kama kete ya kisiasa lkn wapo pia wenye chuki binafsi na Jeshi la Polisi na Serikali kwa ujumla ambao waote hao nia yao ni kushangilia kila jambo baya kwa nia ya kutaka kuona Awamu ya 6 eti ifeli.

Hilo haliwezekani na wala halikubaliki.
lazima tushughulike nao sambamba, wasituharibie Amani ya Nchi yetu.

Kamwe tusiwachekee wanao leta dhihaki kwenye vitendo vya kihalifu....wanao shabikia vitendo vya kihalifu nao pia ni wahalifu, tushughulike nao.
 
Pongezi kwa Jeshi la Polisi Mkoa wa DSM kwa operesheni kabambe kwa kuwasaka na kuwakamati hawa "kunguni" wanao joita Panya rodi.

nashauri mwendo huo uendelee, wabanwe hadi watajane wote ambao wapo kwenye mtandao huo.

Sambamba na hilo pia mtandao wa Majambazi sugu pamoja wauza madawa ya kulevya usambaratishwe mara moja.

Yule DC aliyesema Polisi wako wachache hivyo wa team up na wananchi bado yuko ofisini!? Je wamewezaje kudhibiti kama walikuwa wachache?
 
Jukumu la ulinzi na usalama tuliwakabidhi Police, hivyo basi kuwakabili panya road ni jukumu lao.
Binafsi sioni sababu ya kuwapongeza kwasababu huo ni wajibu wao, na zaidi naweza nikaendelea kuwalaumu kwamba kuna sehem walifanya uzembe ama hawakuwajibika vilivyo ndio maana panya road walitarajali.
 
Wananchi wenzangu tusiwe tu mabingwa wa kulaumu tu lkn pia tujenge tabia ya Kutoa pongezi, kwani Pongezi iwatia moyo askari wetu ambao wanapqmbana usiku na mchana kuhakikisha usalama wetu na mali zetu.

Pongezi kwa Jeshi la Polisi Mkoa wa DSM kwa operesheni kabambe kwa kuwasaka na kuwakamati hawa "kunguni" wanao joita Panya rodi.

nashauri mwendo huo uendelee, wabanwe hadi watajane wote ambao wapo kwenye mtandao huo.

Sambamba na hilo pia mtandao wa Majambazi sugu pamoja wauza madawa ya kulevya usambaratishwe mara moja.

Tukishirikiana kwa pamoja tutaweza.

Sisi raia wema tupo tayari kutoa taarifa za siri kuwataja wahalifu wote ktk maeneo yetu.

Pongezi kamanda Mliro
Naunga mkono hoja.
Polisi wakidhamiria, kwa ushirikiano na wananchi, wanaweza.
 
Jukumu la ulinzi na usalama tuliwakabidhi Police, hivyo basi kuwakabili panya road ni jukumu lao.
Binafsi sioni sababu ya kuwapongeza kwasababu huo ni wajibu wao, na zaidi naweza nikaendelea kuwalaumu kwamba kuna sehem walifanya uzembe ama hawakuwajibika vilivyo ndio maana panya road walitarajali.
Wewe legeza miguu useme ni kazi ya Police!

Usalama wako unaanza na wewe mwenyewe!
 
Wewe legeza miguu useme ni kazi ya Police!

Usalama wako unaanza na wewe mwenyewe!
Huko Daslam ndio mlianza kulia kwa kupigwa na vitoto vyenu, then mkaanza kuwalaumu police.
Alafu wanaume wa mkoani hua mkifika Daslam mnakua yogoyogo sana, sijui nikwanini...😕
 
Pongezi kwa Jeshi letu la Polisi kwa kazi nzuri ya kutokomeza hawa panya.

Kazi iendelee.....
 
Back
Top Bottom