Hata asiye mtiifu Kwa CCM ni mtiifu Kwa tumbo lake kwani tumbo ndo hukuwezesha kupumua!
Dhambi haiko CCM, dhambi ni ya MTU mmoja-mmoja, Na hii ndiyo sababu CCM itaendelea kutawala Kwa vile mnaodhani hamuitii CCM hamuitii hats jamii inayolindwa Na kulelewa na CCM (Watanzania) na hampendi kutambua jukumu zito la CCM kuyalinda na kuyasimamia maslahi ya Watanzania bila kujali wasioitii.
Amina!