kutumbua watu kwa kukurupuka kisha wanapoenda mahakamani wanaonekana hawakuwa na hatia kisha selikali kuwalipa mamilioni ya sh, kukusanya mapato mengi na Maisha kiuhalisia mtaani ni magumu, kuondoa Uhuru wa watu kutoa maoni yao na kukosoa, muhimili mmoja kuingilia mihimili mingine, kuvunjwa katiba hadharani kwa maamuz ya kipuuzi ya MTU mmoja, Zanzibar kuendelea kuwa koloni LA Tanganyika tena kwa nguvu nyingi na Silaha nyingi za kivita kuhamishiwa Kambi za Zanzibar, kuongezeka kwa kodi kila kona na kupelekea MTU kulipa kodi zaidi ya6 kwa bisshara1, Uteuzi wa nafas selikalini bila kuzingatia Usawa wa maeneo ya nchi mfano 70% ya waajiliwa selikalini na waliobakishwa wanatoka ukanda mmoja na kutozingatia usawa wa kijinsia Idadi ya nafas za Wanawake ktk Nafas mhimu imendelea kupungua, rasilimali za nchi kugawanya kwa upendeleo kana kwamba nchi imekuwa ya kanda moja, Kujenga uwanja wa ndege mkubwa Chato huku makao makuu ya mkoa hayana airport ukiondoa kale kauwanja kavumbi ka mgodi kalikopo pale karibu na kijiji cha Bugulula,Chato kuwekewa taa za barabarani huku makao makuu ya mkoa Geita mjini Kukiwa Hakuna taa hata 1, Mkulu kuwa na urafiki wa mashaka na nchi zisizozingatia Democracy je!! Ni taa ya kijani kuelekea kuwa nchi inayoongozwa kidicteta???,MKUU kutokuwa na kauli za kujenga na kuwapa matumaini anaowaongoza zaidi ya kauli za kibabe, upuuzi na kejeli. Je! Hayo na mengine yote ni pongezi kwa selikali hii ya YOHANA???