Pongezi kubwa kwa mheshimiwa Rais.

Ili bando ungeaandika unatafuta ajira ungekuwa wa maana sana,

kuna halmashuri hapa watu wanakwenda kukagua miradi siku mbili wanalipana laki 2 mbili yaani laki 4 kwa 2 days afu ni halmashauri mpya IPO mwanza.

mgejua hakuna kipindi watu wanakula hela kimya kimya kama hiki msingeongea!!! Kila siku nivikao na posho tu, bakini gizani tu
 
Mh; Raisi napenda kutoa pongezi nyingi kwako , kwa kurejesha nidhamu ya kazi , kuboresha elimu , huduma za afya na kuendelea kuimalisha uchumi wa Tanzania.
Hongera sana raisi wetu vijana wengi tuko nyuma yako tunakusuport na wala hatuta kuangusha katika harakati za kuikomboa Tanzania kiuchumi, kijamii na kisiasa.
Nimefurahishwa sana na haya yafuatayo:
-Ununuzi wa ndege
-Ukarabati na maboresho ya barabara
-Sakata la vyeti feki
-Elimu bure
Na mengine mengi kama ulivyo tangaza kuwa unatarajia kutoa ajira 52000 mwezi wa saba hakika sisi vijana tunakupenda sana raisi wetu Mungu akujalie afya bora na miaka mingi ya kuishi hapa duniani.
Wewe kwenu mnatumia usafiri wa meli?
 
kutumbua watu kwa kukurupuka kisha wanapoenda mahakamani wanaonekana hawakuwa na hatia kisha selikali kuwalipa mamilioni ya sh, kukusanya mapato mengi na Maisha kiuhalisia mtaani ni magumu, kuondoa Uhuru wa watu kutoa maoni yao na kukosoa, muhimili mmoja kuingilia mihimili mingine, kuvunjwa katiba hadharani kwa maamuz ya kipuuzi ya MTU mmoja, Zanzibar kuendelea kuwa koloni LA Tanganyika tena kwa nguvu nyingi na Silaha nyingi za kivita kuhamishiwa Kambi za Zanzibar, kuongezeka kwa kodi kila kona na kupelekea MTU kulipa kodi zaidi ya6 kwa bisshara1, Uteuzi wa nafas selikalini bila kuzingatia Usawa wa maeneo ya nchi mfano 70% ya waajiliwa selikalini na waliobakishwa wanatoka ukanda mmoja na kutozingatia usawa wa kijinsia Idadi ya nafas za Wanawake ktk Nafas mhimu imendelea kupungua, rasilimali za nchi kugawanya kwa upendeleo kana kwamba nchi imekuwa ya kanda moja, Kujenga uwanja wa ndege mkubwa Chato huku makao makuu ya mkoa hayana airport ukiondoa kale kauwanja kavumbi ka mgodi kalikopo pale karibu na kijiji cha Bugulula,Chato kuwekewa taa za barabarani huku makao makuu ya mkoa Geita mjini Kukiwa Hakuna taa hata 1, Mkulu kuwa na urafiki wa mashaka na nchi zisizozingatia Democracy je!! Ni taa ya kijani kuelekea kuwa nchi inayoongozwa kidicteta???,MKUU kutokuwa na kauli za kujenga na kuwapa matumaini anaowaongoza zaidi ya kauli za kibabe, upuuzi na kejeli. Je! Hayo na mengine yote ni pongezi kwa selikali hii ya YOHANA???
 
kutumbua watu kwa kukurupuka kisha wanapoenda mahakamani wanaonekana hawakuwa na hatia kisha selikali kuwalipa mamilioni ya sh, kukusanya mapato mengi na Maisha kiuhalisia mtaani ni magumu, kuondoa Uhuru wa watu kutoa maoni yao na kukosoa, muhimili mmoja kuingilia mihimili mingine, kuvunjwa katiba hadharani kwa maamuz ya kipuuzi ya MTU mmoja, Zanzibar kuendelea kuwa koloni LA Tanganyika tena kwa nguvu nyingi na Silaha nyingi za kivita kuhamishiwa Kambi za Zanzibar, kuongezeka kwa kodi kila kona na kupelekea MTU kulipa kodi zaidi ya6 kwa bisshara1, Uteuzi wa nafas selikalini bila kuzingatia Usawa wa maeneo ya nchi mfano 70% ya waajiliwa selikalini na waliobakishwa wanatoka ukanda mmoja na kutozingatia usawa wa kijinsia Idadi ya nafas za Wanawake ktk Nafas mhimu imendelea kupungua, rasilimali za nchi kugawanya kwa upendeleo kana kwamba nchi imekuwa ya kanda moja, Kujenga uwanja wa ndege mkubwa Chato huku makao makuu ya mkoa hayana airport ukiondoa kale kauwanja kavumbi ka mgodi kalikopo pale karibu na kijiji cha Bugulula,Chato kuwekewa taa za barabarani huku makao makuu ya mkoa Geita mjini Kukiwa Hakuna taa hata 1, Mkulu kuwa na urafiki wa mashaka na nchi zisizozingatia Democracy je!! Ni taa ya kijani kuelekea kuwa nchi inayoongozwa kidicteta???,MKUU kutokuwa na kauli za kujenga na kuwapa matumaini anaowaongoza zaidi ya kauli za kibabe, upuuzi na kejeli. Je! Hayo na mengine yote ni pongezi kwa selikali hii ya YOHANA???
6fb331eae011197f475e80eead4264de.jpg
 
Kwa kweli! Na wewe pia ubarikiwe maana umeona mbali na umeamini!
 
Mleta mada ametoroka milembe, walinzi waje huku wamkamate, kwanza ni New ID na post yake ya kwanza, vichaa wamekuwa wengi sana hii nchi.
How can you hail Lucifer?
 
Mh; Raisi napenda kutoa pongezi nyingi kwako , kwa kurejesha nidhamu ya kazi , kuboresha elimu , huduma za afya na kuendelea kuimalisha uchumi wa Tanzania.
Hongera sana raisi wetu vijana wengi tuko nyuma yako tunakusuport na wala hatuta kuangusha katika harakati za kuikomboa Tanzania kiuchumi, kijamii na kisiasa.
Nimefurahishwa sana na haya yafuatayo:
-Ununuzi wa ndege
-Ukarabati na maboresho ya barabara
-Sakata la vyeti feki
-Elimu bure
Na mengine mengi kama ulivyo tangaza kuwa unatarajia kutoa ajira 52000 mwezi wa saba hakika sisi vijana tunakupenda sana raisi wetu Mungu akujalie afya bora na miaka mingi ya kuishi hapa duniani.
Hizi nafasi za ukuu wa mkoa na wilaya uyui vitafanya muwe vichaa hata mkiambiwa muwatukane wazazi wenu mtawatukana
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom