yoga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2013
- 1,808
- 8,290
Ili bando ungeaandika unatafuta ajira ungekuwa wa maana sana,
kuna halmashuri hapa watu wanakwenda kukagua miradi siku mbili wanalipana laki 2 mbili yaani laki 4 kwa 2 days afu ni halmashauri mpya IPO mwanza.
mgejua hakuna kipindi watu wanakula hela kimya kimya kama hiki msingeongea!!! Kila siku nivikao na posho tu, bakini gizani tu
kuna halmashuri hapa watu wanakwenda kukagua miradi siku mbili wanalipana laki 2 mbili yaani laki 4 kwa 2 days afu ni halmashauri mpya IPO mwanza.
mgejua hakuna kipindi watu wanakula hela kimya kimya kama hiki msingeongea!!! Kila siku nivikao na posho tu, bakini gizani tu