Kwa mimi ambae sijawahi kunywa pombe, naomba niwaulize maswali mawili au matatu hivi,mosi kuna haina ngapi za pombe?,pili Kwanini watu utofautiana katika ulewaji?,tatu katika kulevya,kuna utofauti gani na dawa za kulevya,nne kwanini mwanamke ulendemka na kujiachia sana akilewa!!?,ni hayo tu.